JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Mnamo tarehe 22/2/20 13 Jmosi Makamanda (F. Mbowe, Z. Kabwe, S. Arfi, S. Sungura, M. Said, A. Malack nk) watalitikisa mji wa Tabora ktk uzinduzi wa M4C Kanda ya Magharibi (Kigoma, Tabora, Katavi, Rukwa)! Makamanda wote mnakaribishwa!