Kelvin Joseph
Member
- Mar 22, 2011
- 11
- 0
Katika kijiji cha **** wananchi walijengea kisima cha kijiji Wakati wa uzinduzi wa kisima hicho Mh:Mizengo Pinda akaalikwa kuwa mgeni rasmi. Wakati akionyeshwa mandhari ya kijiji hicho akapelekwa kwenye kisima chenyewe. Wakakifunua ili akione. Ghafla Mheshimiwa akashtuka na kurudi nyuma. Wananchi Wakamuuliza: Mheshimiwa vipi Mbona umeshtuka hivyo kunanini? Akawauliza: hivi huku kijijini kwenu mnafuga mamba? Wakamuuliza: kwanini? Akasema nimeona kitu kama mamba akarudi kuangalia vizuri akagundua ilikua sura yake.