Uzinduzi wa kisima ....

Kelvin Joseph

Member
Mar 22, 2011
11
0
Katika kijiji cha **** wananchi walijengea kisima cha kijiji Wakati wa uzinduzi wa kisima hicho Mh:Mizengo Pinda akaalikwa kuwa mgeni rasmi. Wakati akionyeshwa mandhari ya kijiji hicho akapelekwa kwenye kisima chenyewe. Wakakifunua ili akione. Ghafla Mheshimiwa akashtuka na kurudi nyuma. Wananchi Wakamuuliza: Mheshimiwa vipi Mbona umeshtuka hivyo kunanini? Akawauliza: hivi huku kijijini kwenu mnafuga mamba? Wakamuuliza: kwanini? Akasema nimeona kitu kama mamba akarudi kuangalia vizuri akagundua ilikua sura yake.
 
Unajipenda ndugu yangu na utani huo?Wenzio wana kesi za kujibu,kuwa makini.
 
insult...wote tumeumbwa kwa mfano wa Mwenyezi Mungu

Very true, kila binadamu anaumbwa kwa mfano na sura ya Mungu...na hakuna anayechagua taswira yake, we are born without our choices as how we shall look like....kama tungepewa uchaguzi of course kila mtu angeji design vile atakuwa...so stop this nonsense, unamtukana Mungu na unatukana uumbaji wa Mungu. Kwani wewe unajiona mzuri sana? Pengine na wewe uko kama nyani anacheka wenziwe kwa vile they cannnot see how they look like behind....be careful and next time think before you write a joke....tena unamtukana kiongozi wa nchi kwa sura yake...that is so pathetic of you. I am glad I dont know you personally otherwise I will be even more disgusted with your behavior....
 
Mode p'se itendee haki thread hii, hata kama ni jukwaa la jokes kuna utani unaokubalika kama itani lakini hii ni dhihaka, kebehi na udhalilishaji wa viongozi wa kitaifa.
 
Kelvin Joseph siku nyingine jaribu kuandika kwa mtindo huu....

Katika kijiji cha mkongojomwitu wananchi walijengea kisima cha kijiji Wakati wa uzinduzi wa kisima hicho Mh:waziri mkuu akaalikwa kuwa mgeni rasmi. Wakati akionyeshwa mandhari ya kijiji hicho akapelekwa kwenye kisima chenyewe. Wakakifunua ili akione. Ghafla Mheshimiwa akashtuka na kurudi nyuma. Wananchi Wakamuuliza: Mheshimiwa vipi Mbona umeshtuka hivyo kunanini? Akawauliza: hivi huku kijijini kwenu mnafuga mamba? Wakamuuliza: kwanini? Akasema nimeona kitu kama mamba. Wanakijiji wakasogea kuangalia vizuri kisha wakamwambia ''mkuu maji kama kioo tu...mambo ya taswira mheshimiwa''
 
Back
Top Bottom