lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
Mambo za kupewa FUNGUO YA GARI, KADI UNALO WEWE LUDENGA SIYATAKIIII! Lete kadi hilo tuelewane.
Hahahaaaaaa! Nipigie
Banaaaa, ILI MKICHUKUA UBINGWA MNISUTE VIZURIIII!!!! lol! CHEZEA
OKWIIIIII!!!!! MAFISANGO (R.I.P)
I like coz unajitambua. Ingekua ni barua ya kaz ningekuachia ofic nzm. Nishakupigia wang... Gud luk.
Mimi umeniudhi kuitaja yanga tu hapo! Ila natamani kukupigia........
Duuuuuuuh hizi campaign za mwezi huu zina tisha! Kuna watu wana tembea hadi na matunguli kwenye campaign!