View attachment 48991View attachment 48992View attachment 48993View attachment 48994
Words in pictures USA RIVER LEO
kuwa mwenyeji wa mpakani sio kuwa wewe ni raia wa nchi fulani. Halafu kama Wenje angekuwa mkenya magamba wangekata rufaa mapema sana. Chunga maneno yako penye ukweli usiingize vitu vingineMkuu, mbona Ezekiel Wenje, Mbunge wa Nyamagana ni Mkenya na watu wamempa ubunge.
Wakuu vpi! Mbona star tv hawapo live ? Au ndo tume kula mkenge?
Wakuu vpi! Mbona star tv hawapo live ? Au ndo tume kula mkenge?
Hasa mbona star tv wanaonyesha tamthilia