Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA kata ya Daraja Mbili - Arusha

Nassari: anazungumzia watuhumiwa wa mauaji ya mwenyekiti wa cdm arusha.
Anasema polisi wanavujisha siri za wasamaria waliofichua siri za wauaji.
Anasema kutoroka kwa watuhumiwa hao ni maigizo.
Anatoa taarifa kwa wanausalama kuwa wasipowapata wauaji hao hapa arusha hapatakalika.
Kikwete anaambiwa kuwa hajamuumba mtu hata mmoja ana mamlaka ya kuua hata mmoja.
Anasema ccm wakileta t.shirt wananchi wawaulize mbona hawajawapima size???
Nassari anasema daraja II kutuma salamu kuwa arusha ni kisima cha mabadiliko.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ritz at work!

Pole sana na utumwa unakunyanyapaa!Ungana na lile genge lako na mkachukue chenu kwa mafisadi na acha kutapika kama hujui dhamani ya utu wako kibinadamu!

Pole mtumwa asiyejijua!

Ndungu yangu nakushauri tafuteni shughuli za kufanya mnatumiwa bila kufahamu jaribuni kujitathimini upya na uamuzi wenu.
 
JAMES MILYA:
Ndugu zangu ni mara yangu ya kwanza kumnadi mgombea wa chama changu kipya kumnadi mgombea wa chama chetu tokea nilipovua gamba. Tumedhamiria kubadilisha hali ya kisiasa nchini kwa vitendo, tuhakikishe tunamchagua diwani wa CCM............

Mkuu Mungi,
Rekebisha hapo kwenye red. Najua ni typing error
 
Last edited by a moderator:
Badala ya kujadili mkutano na jinsi ya kukipamba chadema, wachovu wawili wanadraw attention na kuwatowa kwenye

maada wapotezeeni hao. mkiendeleza majadala nao mtapoteza muelekeo wa hoja ya mkutano na ukombozi wa M4C kwa

watanzania.
 
Lema kapanda jukwaani sasa:
Anasema tuinamishe kichwa tumshukuru mungu kwani tumeshashinda.
Anaanza kwa kusema wali wa kushiba unauona kwenye saani(ana mnukuu vicent nyerere)
Anasema ccm wametenga milioni 500 kila nyumba itagawiwa laki 1. Anasema chakula kikiletwa wananchi wale.
Anasema chama chetu hatuamini kwenye umaskini ndo maana tunapiga vita umaskini usiku na mchana.
Lema anazidi kulonga kuwa hatuwezi kuwa na chama kinachotumia nembo ya jembe na nyundo wakati kuna watu wanalima kwa matrekta ya kukodi kwa bei ghali.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu wangu chama,
Kwa wastani Chadema wanafanya mikutano Arusha kwa mwezi mara 20 kwa miezi sita wanafanya mikutano 120 wastani wa mkutano mmoja wanatumia milioni 30...kwa miezi 6 wanatumia zaidi ya milioni 300 ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.
 
Last edited by a moderator:
Lema: anasema tutapiga chini bila kujali kuwa tutakosa madaraka kwani madaraka bila uadilifu ni kazi bure.
Anasema JK atakwenda kusababisha umwagaji damu kwa kutumia udini.
Anasema kabla ya cuf kufunga ndoa na ccm makada wa ccm walikua wanatangaza cuf ni chama cha dini flani.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Lema:
hakuna chama kinachopigania maslahi ya watanzania kama chadema. Wabunge na viongozi wake hawapunziki, wanapigania haki na usawa wa mtanzania
 
Lema: anasema tutapiga chini bila kujali kuwa tutakosa madaraka kwani madaraka bila uadilifu ni kazi bure.
Anasema JK atakwenda kusababisha umwagaji damu kwa kutumia udini.
Anasema kabla ya cuf kufunga ndoa na ccm makada wa ccm walikua wanatangaza cuf ni chama cha dini flani.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mkuu Daudi mchambuzi uko kwa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Lema kapanda jukwaani sasa:
Anasema tuinamishe kichwa tumshukuru mungu kwani tumeshashinda.
Anaanza kwa kusema wali wa kushiba unauona kwenye saani(ana mnukuu vicent nyerere)
Anasema ccm wametenga milioni 500 kila nyumba itagawiwa laki 1. Anasema chakula kikiletwa wananchi wale.
Anasema chama chetu hatuamini kwenye umaskini ndo maana tunapiga vita umaskini usiku na mchana.
Lema anazidi kulonga kuwa hatuwezi kuwa na chama kinachotumia nembo ya jembe na nyundo wakati kuna watu wanalima kwa matrekta ya kukodi kwa bei ghali.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

tunamshukuru mungu kwa kila jambo inamaana kamatukishindwa tumwache mungu?mbona unaniboa?
 
Mkutano unatia matumaini! wana Daraja II msituangushe! tuko pamoja nanyi.
 
Lema Anasema hakuna chama kinapigania maslahi kama chadema.
Anasema chadema kinapigania haki ya watu wote na sio kanisa wa
Lema anazidi kulonga kuwa ubunge sio pepo bali ni kazi ya uadilifu kwa iyo akija mtu amenizidi uadilifu nipigeni chini na mumchague.
Anasema tumepewa mkuu wa wilaya mwenye kiherehere.

Lema anazidi kusema kuwa wamachinga wa arusha wanazidi kuteseka, anasema tusifikiri wamachinga ni takataka.
Anasema siku wamachinga wakiondoka barabarani na wasionekane kabisa basi usiku tutaokota wananchi waliochomwa visu na watu wanaojitafutia rizki kwa njia mbadala.
Anawapongeza kwa kufanya kazi ya mungu kwa kujigawia kiwanja cha kilombero.
Anasema sheria inayo kandamiza maskini na kutukuza matajiri ni sheria ya kupinga.
Nisipofa leo nitakufa nitakufa kesho ila siko tayari kufa kwa malaria ila niko tayariu kufa kupambania haki ya nmsingi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ritz!

Pole sana! Tangu awali nimeshakuambia ya kwmb utumwa wako hakika utakujajutia na hata best zako wakiongozwa na zomba nakuomba ukae nao na waelimishe taratibu na bila shaka mwaweza elewesha watumwa wenzie!

Laaalabuk!

Ndungu yangu nakushauri tafuteni shughuli za kufanya mnatumiwa bila kufahamu jaribuni kujitathimini upya na uamuzi wenu.
 
Back
Top Bottom