Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Nassari: anazungumzia watuhumiwa wa mauaji ya mwenyekiti wa cdm arusha.
Anasema polisi wanavujisha siri za wasamaria waliofichua siri za wauaji.
Anasema kutoroka kwa watuhumiwa hao ni maigizo.
Anatoa taarifa kwa wanausalama kuwa wasipowapata wauaji hao hapa arusha hapatakalika.
Kikwete anaambiwa kuwa hajamuumba mtu hata mmoja ana mamlaka ya kuua hata mmoja.
Anasema ccm wakileta t.shirt wananchi wawaulize mbona hawajawapima size???
Nassari anasema daraja II kutuma salamu kuwa arusha ni kisima cha mabadiliko.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Anasema polisi wanavujisha siri za wasamaria waliofichua siri za wauaji.
Anasema kutoroka kwa watuhumiwa hao ni maigizo.
Anatoa taarifa kwa wanausalama kuwa wasipowapata wauaji hao hapa arusha hapatakalika.
Kikwete anaambiwa kuwa hajamuumba mtu hata mmoja ana mamlaka ya kuua hata mmoja.
Anasema ccm wakileta t.shirt wananchi wawaulize mbona hawajawapima size???
Nassari anasema daraja II kutuma salamu kuwa arusha ni kisima cha mabadiliko.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums