Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Mbaazi zikikosa maua husingizia jua. Kwnai mitandao ndiyo imemfanya awe raisi legelege? Ndo inamfanya anakata network kila wakati? Nadhani angetumia muda wake kushughulikia matatizo yake binafsi (ikiwemo afya yake) na uwezo wake wa kuongoza badala ya kukimbiza vivuli!