Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu jumatatu tarehe 30.08.2010. chama cha CUF walizindua kampeini za uchaguzi mkuu jimbo la Bukoba mjini wakiongozwa na mgombea mwenza Mh. Duni kwenye uwanja maarufu wa mashujaa mjini Bukoba.
Yaliyowakuta inabaki ni historia kwani walisuswa na wale waliodhani kuwa ni wanachama wao katika jimbo hilo. Maana waliohudhulia mkutano huo hawakuwa zaidi 100, pamoja na kwamba hata waliohudhulia wengi wanafahamika kama wanachama wa vyama vya sisi M na Chadema.
Kwa uthibisho naunganisha picha zilizochukuliwa katika mkutano wenyewe.
Picha hii inaonyesha Jukwaa lililo na waheshimiwa
Picha hii inaonyesha jukwaa la waheshimiwa
Hawa ndio walikuwa wasikilizaji wa hotuba ya mh Duni
Hawa ni watu waliojiegemeza pembeni mwa ukuta unaozunguka uwanja wenyewe
Na hii ni sehemu nyingine ya ukuta unaozunguka uwanja.
Ebu angalia picha hizi hapa chini zikionyesha nini kilitokea siku Dr Slaa alipokwenda kutafuta wadhamini katika uwanja huo huo mwezi jana.
Yaliyowakuta inabaki ni historia kwani walisuswa na wale waliodhani kuwa ni wanachama wao katika jimbo hilo. Maana waliohudhulia mkutano huo hawakuwa zaidi 100, pamoja na kwamba hata waliohudhulia wengi wanafahamika kama wanachama wa vyama vya sisi M na Chadema.
Kwa uthibisho naunganisha picha zilizochukuliwa katika mkutano wenyewe.
Picha hii inaonyesha Jukwaa lililo na waheshimiwa
Picha hii inaonyesha jukwaa la waheshimiwa
Hawa ndio walikuwa wasikilizaji wa hotuba ya mh Duni
Hawa ni watu waliojiegemeza pembeni mwa ukuta unaozunguka uwanja wenyewe
Na hii ni sehemu nyingine ya ukuta unaozunguka uwanja.
Ebu angalia picha hizi hapa chini zikionyesha nini kilitokea siku Dr Slaa alipokwenda kutafuta wadhamini katika uwanja huo huo mwezi jana.