Ninavyo ichukia CCM siwezi enda kwenye mkutano wao ila nitajitahidi kuweka rada......Mkuu ukiweza kupata picha ya hayo malori hiyo jtatu tupia humu!! no way out ccm hawawezi fanya mkutano bila kubeba watu hilo nimeliona ktk mikutano yao yote:bump2:
Masikini we! Yaani pamoja na kubeba watu Moshi, Hai, Arusha nk bado ndo mkutano umedoda hivi? Umezidiwa hata na mkutano wa uzinduzi wa kampeni za kata Mwanza, Aibu!!! Subirini mafuriko Jtatu ndo mtajua CCM mziki mkubwa!
Wajameni,mbona Mh.Mbowe anatumiasigara kalihadharani?
Duh kweli wajinga wali wao,wapiga kura hapo ni chini ya asilimia 30. Na igunga ilikuwa hivi hivi
Ni mchungaji, ndio, lakini hapo hajaja kueneza Injili na kugawa biblia, amekuja kwenye shughuli ya kisiasa. Na kama yeye sio CHADEMA hiyo ndio mbaya zaidi maana anaumiza taswira ya chama wakati hana interest wala msaada wowote kwa chama.Baba yake Nasari ni mchungaji huwezi kumuwekea mashariti ya kutokutembea na bible kama ilivyo kawaida yake kwanza siyo lazima yeye awechadema unaweza kuta kwenye siasa hayuko.....