Who is Mkapa huyu bepari mkubwa na mwizi mkubwa wa aridhi yetu huko Arumeru amejilimbikizia aridhi mahekari kwa mahekari atawaeleza nini wameru wamwelewe wao hawana aridhi yote kachukua Mkapa na marafikizake hana jipya huyo.
.
Mi Mkapa namhofia sana katika Kampeni zake kumtetea Mgombea fulani,huko Arumeru kura zitaibiwa TU. MKAPA anatujua waph Watanzania pa kutukamata kuliko JK