katika watoto wa bongo flava ambao walikuwa wananikosha katika muonekano wa kimavazi ya kinyamwezi alikuwa huyu TID kwakweli alikuwa anawabururuza sana wenzake ila miaka ya karibuni naona kapoteza mwelekeo wa pamba ameanza kuonekana kama mzaire..nahisi fally ipupa kamuharibu!
NI kweli Frank anakitu cha ukweli ila tutaishia kutambulisha kwenye club tu kule kwetu ismani hawawzi kutuelewa...... na style za vichupiiiii!!!! haya bwana ndo vioo vyetu vya jamiii!!
TID si alifungiwa Bills baada ya mtafaruku wawke na Hasheem? Vip aliyekuweko atupe tathmini ya mahudhurio, make siku hizi mahudhurio Bongo Fleva yameshuka kiasi cha kuchanganya taarab taarab ili watu waburudike kidogo.
He came from long way, kwel ni Top in Dar! Nilikuwa nasikiliza interview clouds fm mchana kabla hy launch ya Sifai album, anastahili pongezi ingawa kwa kweli wanahtaji support ya kuzuia kuibiwa kazi zao! .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.