ninaposema kundi namaanisha ni mkusanyiko wa watu of the same interest the same as Genge. Kundi sometimes refer as Genge.
Najua hizi movement kabla walizianza Kikosi Cha Mizinga, ila walishinda.
Of course this is HIPHOP I mean HIPHOP! On top of that a mixtape! Big deal? Nothing! because you know nothing about real Hiphop!! Sugu a hiphop artist and MP! wrong with that?Hebu angalieni na sikilizeni huu uchafu wa mbunge wa chadema kwenye hii link hapa chini!!
SUGU ANTI VIRUS
Hebu angalieni na sikilizeni huu uchafu wa mbunge wa chadema kwenye hii link hapa chini!!
SUGU ANTI VIRUS
Uchafu gani ww njoo uwaone wabunge ndani ya ustawi bila kumsahau nchimbi atakuwa mgeni rasmi huu sio mziki wa ruge ww ni vinega watoto wa town
Kwa maandsh yako tu nshakujua wewe n nan?tuache hayo..kwan cfa ya kuw kneg lzm uwe na matusi?Hv kat ya vineg.a nan anayejua hiphop?hkuna hta m1..Iv mbunge ana muda gan wa kupoteza na kukaa kuanza kuandka matus badala ya kutatua matatzo ya wananch yake?..kama mnabaniwa na cloudc nymbo zenu znapgwa na radio gan?kama mnanyonywa na soko la ndan..iv i sugu c alikuwa marekan?kwa nn hakutoka?au soko la marekan lmetekwa na ruge? Am Anti Anti-Virus...yoo
We kilaza wa CCM unaleta propaganda hadi kwenye kazi za vijana? Ingia hapa jipatie AV Mixtape II BURE SWAHILI ORIGINAL WORLDWIDEHebu angalieni na sikilizeni huu uchafu wa mbunge wa chadema kwenye hii link hapa chini!!
SUGU ANTI VIRUS
Hata kama walianza kikosi cha JWTZ,nasasa ni Sugu,Ficha upumbavu wako usifiche hekima yako,unafurahia wasanii wanavyo nyonywa? Kichwa yako lazima itakuwa inamatatizo sio bure...ninaposema kundi namaanisha ni mkusanyiko wa watu of the same interest the same as Genge. Kundi sometimes refer as Genge. Najua hizi movement kabla walizianza Kikosi Cha Mizinga, ila walishinda.
DUH mkuu niko Serengeti ila tuko pamoja, lazima TEMBO akalishwe na changudoa azalishwe lol.........:biggrin:stage inaanza kufungwa pale ustawi we the best
hebu angalieni na sikilizeni huu uchafu wa mbunge wa chadema kwenye hii link hapa chini!!
sugu anti virus