- Thread starter
- #61
Sure sasa hivi wamelowa wanaogopa kinyama! wanahaha na kina DMX! Itafahamika tu!
Kweli wanahanya vinega wapo times na dtv na stage kubwa tunawaonyesha kuwa hata mabaga fresh wanaweza kuimba kwenye big stage anayofungiwa tpain au fatjoe wanahanya na hao sm watajuta