Uzinduzi antivirus mixtape 26/11/11

Sina ugomvi na hao wasanii but hayo matusi wanayomwaga ... kah nimewashusha thamani... hiphop sio matusi ... kawape taarifa hao vinega , na pia mkubali wa tz ni mashabiki wa bongo flava, bongo flava zipo juu ea, nenda Kenya kaulize who is alikiba, alafu waulize soggy mnamfahamu...? hivi ruge pia ana nguvu hadi radio za huko Kenya ...

kila mtu ana wakati wake wa kuhit, kila siku kunatokea wasanii wapya ndio maana, SOGGY atahit vipi now wakati WAFU FM ndio kila kitu?
kuna mtu alibamba kama Q CHILLAH na BUSHOKE wakawa kila week wanaenda kwenye show KENYA & UGANDA leo hii wako wapi?
unajua kilichowafanya wapotee kwenye game? BUSHOKE anaimba home kwao DODOMA kwenye CLUB 1 inaitwa LA AZIZ..music anweza but ndio jamaa wameamu akumpoteza kwenye game

ili usikie kenya si ni lazima nchini kwako uwe una hit??
 
Watakuja wapenda matusi...inaonesha hata hiphop hawaijui,tangu ln mixtape ikawa na uznduz?kama co sugu anataka kuwadhurumu wenzie!kwa nn vinega wote hawana elimu?kwa nin vinega wote wamepotea kwny game?kam wanabbniwa na clouds,kwa nin nymbo zao hazpgw redio nyngne?niambie n nymb gan katka hyo mixtape inafaa kupgwa kwny teleshen ya taifa?niambie n nymbo gan ktk hyo mixtape inaweza kupendwa na watu makn kama zito au prof.shivji?...tar26 naenda kumchek m2 mzima DMX..Et Antivirus? Soggy dog =magamba..sugu = magamba..wu z virus sugu o soggy?
Sidhani kama Anti Virus lengo lake pekee ni kuhusu kubaniwa na clouds....funguka! This is Hip Hop...if a nigga does s'thing to you unamchana...hip hop is all about battling...
 
mh! kwani hawana???wanayo bana!!


wanayo haki gani?
kama msanii akidai haki zake wanampotezea na kumbanai nyimbo zake hao si wauaji?
mfano msanii wa kike PIPI ya Mint wa THT mwaka jana alipojitoa katika hilo kundi walaiacha kupiga nyimbo yake yoyote mpaka binti alipoomba kurudi upya kundini, so wanataka wanyenyekewe..
SUGU alikuwepo kabla ya WAFU FM na alikataa pia kutawaliwa na wafu fm kitu hicho ndio kilichomsaidia kupata mafanikio, na kama wakumbuka SUGU amekuwa ni mtetezi wa haki na mwanaharakati toka 1995 sasa harakati hizo sasa ndio anaelekea kufanikiwa kwa kuwasaidia wasanii wengine pia!!
dhuluma sasa basi,wamewapoteza wasanii wengi sana katika ramani kisa hawakuwa tayari kwenda nao sawa na matakwa yao
Ngwair,
Bushoke,
Q Chillah
Ray C,
Vumi wa THT
BUIBUI,
WAGOSI,
Mapacha
Danny Msimamo
nk...wako wengi tu
 
wanayo haki gani?
kama msanii akidai haki zake wanampotezea na kumbanai nyimbo zake hao si wauaji?
mfano msanii wa kike PIPI ya Mint wa THT mwaka jana alipojitoa katika hilo kundi walaiacha kupiga nyimbo yake yoyote mpaka binti alipoomba kurudi upya kundini, so wanataka wanyenyekewe..
SUGU alikuwepo kabla ya WAFU FM na alikataa pia kutawaliwa na wafu fm kitu hicho ndio kilichomsaidia kupata mafanikio, na kama wakumbuka SUGU amekuwa ni mtetezi wa haki na mwanaharakati toka 1995 sasa harakati hizo sasa ndio anaelekea kufanikiwa kwa kuwasaidia wasanii wengine pia!!
dhuluma sasa basi,wamewapoteza wasanii wengi sana katika ramani kisa hawakuwa tayari kwenda nao sawa na matakwa yao
Ngwair,
Bushoke,
Q Chillah
Ray C,
Vumi wa THT
BUIBUI,
WAGOSI,
Mapacha
Danny Msimamo
nk...wako wengi tu

Wewe unavuta bangi tena chooni..
Ngwair amebaniwa lini na clouds ebu sikiza XXL Kila ijumaa kwenye Top5 zao ngoma mpya ya Ngwair BBM bado Ipo kwenye chat zao.
na huyo Bushoke had kwny Fiesta ya mwaka huu alipewa tunzo na clouds..
Ngoma ya aseme ya Q-chillah & Na wewe milele ya Ray C zimewekwa katika orodha ya ngoma 50 bora za miaka 50 ya uhurv acha kuongea vitu usivyovijua.
Hao wagosi wa kaya ngoma yao iliyobaniwa ni Ipi?Je ni classic?ki ukwel vinega wote ubunifu wao zero ndio uliowapoteza..
Sugu asichanganye ugomvi wake personal na Ruge na kuwalisha watu upupu yoo
 
hao clouds wanyonyyaji sana imetosha sasa hatuwaogopi tunataka mafanikio na sio wao ndo wanufaine tunataka tuisaidie jamii kuna msanii gani aliyeenda kusaidia yatima tatizo hawana hela ni muda wa kujikomboa sasa
 
poor adverts up to now!! Kama wanataka iwe big show lazima wapige kampeni ya nguvu tena sasa! Huku uswazi wasio kwenye net hawajui lolote!!
 
uckonde sugu 2takuwa pa1 bamaga,pale ustawi wa jamii,,,siendi ng'o kwenye show yao ya wafu,,,
 
Sina ugomvi na hao wasanii but hayo matusi wanayomwaga ... kah nimewashusha thamani... hiphop sio matusi ... kawape taarifa hao vinega , na pia mkubali wa tz ni mashabiki wa bongo flava, bongo flava zipo juu ea, nenda Kenya kaulize who is alikiba, alafu waulize soggy mnamfahamu...? hivi ruge pia ana nguvu hadi radio za huko Kenya ...
hacha uwongo ww ni redio gani rugre ana nguvu hapa kenya,,nitajie na mmliki wake
 
poor adverts up to now!! Kama wanataka iwe big show lazima wapige kampeni ya nguvu tena sasa! Huku uswazi wasio kwenye net hawajui lolote!!

Posters zinasambazwa na pia times fm na dtv wanatangaza bongofleva inawezekana bila wafu fm
 
uckonde sugu 2takuwa pa1 bamaga,pale ustawi wa jamii,,,siendi ng'o kwenye show yao ya wafu,,,

Pamoja sana mdau mm mwenyewe si msanii bt napenda wasanii wetu wafanikiwe miaka 10 ya hao clouds wanayosema wamesaidia sanaa wasanii wananini zaidi ya kununua jeans na kupanga vyumba tu hivi kama msanii anazidiwa ghafla anaweza kwenda hata india au europe kutibiwa au hata kuwa na pesa ya kusaidia jamii kama walemavu au wazee ni muda wao sasa kama wasanii wa nigeria waligoma kwa mapromota kuimba kwenye shoo ya 50 cent na leo wanalipwa vizuri iweje bongo huyo ruge ni mnyonyaji na sasa wakina kanumba wamemfukuza kwenye filamu
 
Wadau na mashabiki wote wa muziki bongo muziki unalipa tukutane viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii bamaga k'nyama tar 26/11/2011 kuanzia saa 12 kiingilio sh 5000 wasanii kibao sugu mkoloni mapacha dan msimamo adili LWP mabaga fresh soggy doggy big doggy pouse mazese crew peenlawyer. Wakiongoza na dj JD ,majizo, BBG. big stage big sound kutoka ENTARTIMENT MASTERS hii si ya kukosa ANTIVIRUS WITH NO APOLOGY

Pouwa! Nilimwambia peenlawyer nataka t-shirt nyeupe ya anti virus coz ile nyeusi nimeshaivaa sana kwa gharama yoyote, bado sijapata bana! na namkumbusha kila siku na naomba umwambie bado namkumbusha! asinipe sababu ya kukosa tamasha siku hiyo!

Mbali na hayo Naunga mkono hoja!
 
poor adverts up to now!! Kama wanataka iwe big show lazima wapige kampeni ya nguvu tena sasa! Huku uswazi wasio kwenye net hawajui lolote!!

Nimeona adverts DTV, Nimesikia inteview na adverts times fm, nimeona posters vyuoni , nimeona adverts facebook tena kuna page maalum, na nimeona adverts humu JF na kwa taarifa nilizo nazo kuna press conference jumatatu pale habari maelezo!

Nawasilisha!
 
hao clouds wanyonyyaji sana imetosha sasa hatuwaogopi tunataka mafanikio na sio wao ndo wanufaine tunataka tuisaidie jamii kuna msanii gani aliyeenda kusaidia yatima tatizo hawana hela ni muda wa kujikomboa sasa

Unamlipa msanii wa nje Tsh 150,000,000/= na namlipa Mbongo Tsh 200,000/=, Kila kanda msanii anayouza kwa distributor anapata Tsh 100/= kwa kwanda? Ukigoma kupanda fiesta unafungiwa na clouds na wanakuharibia kila kona! hizi harakati zinahusu mambo mengi yanayo rudisha wasanii wa nyuma! Ruge is only one issue.

Binafsi Naunga mkono hoja!
 
Pamoja sana mdau mm mwenyewe si msanii bt napenda wasanii wetu wafanikiwe miaka 10 ya hao clouds wanayosema wamesaidia sanaa wasanii wananini zaidi ya kununua jeans na kupanga vyumba tu hivi kama msanii anazidiwa ghafla anaweza kwenda hata india au europe kutibiwa au hata kuwa na pesa ya kusaidia jamii kama walemavu au wazee ni muda wao sasa kama wasanii wa nigeria waligoma kwa mapromota kuimba kwenye shoo ya 50 cent na leo wanalipwa vizuri iweje bongo huyo ruge ni mnyonyaji na sasa wakina kanumba wamemfukuza kwenye filamu

Naunga mkono hoja! Msisahau ulinzi wa magari na vinywaji viwepo!!! Kile kitabu cha SUGU tunakipataje?
 
hao clouds wanyonyyaji sana imetosha sasa hatuwaogopi tunataka mafanikio na sio wao ndo wanufaine tunataka tuisaidie jamii kuna msanii gani aliyeenda kusaidia yatima tatizo hawana hela ni muda wa kujikomboa sasa

Sure sasa hivi wamelowa wanaogopa kinyama! wanahaha na kina DMX! Itafahamika tu!
 
Greater Thinker kwanza yaonekana una xmass mbili tu hapa jijini, na suala la burudani hulijui wewe,
Wasanii waliojiunga na kuunda kundi la Vinega, ndio wasanii waliofanya mapinduzi ya mziki huu mpaka ukakubalika nchini,
unawajua Bantu Poung Gangstar wewe? Dar Young MOBB?Diplomatiz? hao ndio wakali wa mziki nchini na leo hii wapo na mishe mishe zao nyingine za maisha ila ndo wanaomsapoti SUGU na vinega..
Sugu na hao jamaa walianza kuhit 1995 je Radio ya Wafu ilikuwepo?
Sugu hajawahi fanya biashara na Wafu fm lakini ndio msanii mwenye mafanikio kuliko wote, ndio msaani wa kwanza wa kizazi kipya kwenda kufanya shoo nje ya nchi, kuuza album yake mwenye bila wahindi wala usimamizi wa RUGAY, kureodi na kufanya mixing mbele..
sasa hao unaowatete wanaenda kwa DMX na FABOLOUS wana mafanikio gani katika maisha yao?
wanayonywa lakini kwa uoga wao bado wanajipendekeza, Lady JD, Ray C unajua kwa nini walijitoa Smooth Vibes?

wewe bado sana kijana, tuachie wenye medani yetu, wewe umetumwa na RUGAY kuleta thread za kifala humu, ooh THT wamerudi bongo inahusu nini humu?
kama kweli wanawajali wasanii niambie waanzailishi wa THT wako wapi?

Duh! mkuu una data ! haya bana! Naunga mkono hoja!
 
Pouwa! Nilimwambia peenlawyer nataka t-shirt nyeupe ya anti virus coz ile nyeusi nimeshaivaa sana kwa gharama yoyote, bado sijapata bana! na namkumbusha kila siku na naomba umwambie bado namkumbusha! asinipe sababu ya kukosa tamasha siku hiyo!

Mbali na hayo Naunga mkono hoja!

check nae yupo facebook anatumia jina hilo hilo atakupa info za kuipata pamoja sana mdau
 
Duh! mkuu una data ! haya bana! Naunga mkono hoja!

Naked truth mdau vinega walikutana na lina wa tht pale maisha akawaambia kuwa nao wanasapot movement coz rugay anawanyonya sana wengi wameacha muziki pale wengine kawapa mimba then akienda marekani anasema yatima wenye vipaji pia hata wasanii wengi wanasapot sema wanamuogopa bt time will tel wengi watajiunga tu hata rais anauliza kwanini wasanii maskini muziki bila wafu fm unawezekana
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom