kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Kuna wimbi kubwa la viongozi wa kisiasa na wasomi wa kitanzania kuingizwa mjini na watu wanaojidai kutoa tiba mdala.
Imekua ni kawaida kusikia mtu anatibu na kumaliza kabisa magonjwa sugu kama kisukari,vidonda vya tumbo,ukimwi n.k
mbaya zaidi watu wa kwanza kufika kwa waganga hawa ni viongozi wakubwa serikalini,wasomi wenye degree zao na wafanyabiashara wakubwa.
Huu ni ulimbukeni wa hali ya juu,yani kweli hamjui kama mnatapeliwa?kisomo chenu hakijawakomboa kabisa!
Najua baadhi yenu mpo humu jamvini,jirekebisheni jamani.
Nawasilisha;
Imekua ni kawaida kusikia mtu anatibu na kumaliza kabisa magonjwa sugu kama kisukari,vidonda vya tumbo,ukimwi n.k
mbaya zaidi watu wa kwanza kufika kwa waganga hawa ni viongozi wakubwa serikalini,wasomi wenye degree zao na wafanyabiashara wakubwa.
Huu ni ulimbukeni wa hali ya juu,yani kweli hamjui kama mnatapeliwa?kisomo chenu hakijawakomboa kabisa!
Najua baadhi yenu mpo humu jamvini,jirekebisheni jamani.
Nawasilisha;