Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Mkuu tuwekane sawa....NECTA hawahusiki kabisa na wala halijawahi kuwa jukumu lao kuandaa vitabu...awali lilikuwa Jukumu kuu la TIE lakini tulipolazimishwa na hao mabwana zetu tuliowabatiza jina zuri la Development Partners tukawanyangang'anya TIE jukumu hilo na kuruhusu soko huria .....baada ya kugundua tumekosea na tunakoelekea siko then kuna juhudi za kuwarudishia TIE jukumu lao la msingi kwamba wanapotoa Syllabus watoe na vitabu vya rejea/kiada...NECTA wao wakishapokea Syllabus toka TIE wanaandaa Examinations Format...kwamba tutatoa pepa ngapi....maswali mangapi ya mtindo gani nk....Sasa hapa ndipo walipolikoroga kwamba format imepunguza pepa 3 kuwa 2 lakini mfumo wa kukokotolea matokeo bado ukabaki unasoma pepa 3.......Ndio maana kwa wadau (wakuu washule zilizoathirika na tatizo hilo walielewa kirahisi kuwa tatizo lilitokea wapi... i mean chanzo cha tatizo na ufumbuzi ulipotolewa walielewa na ku-appreciate ila tulio nje...ambao wengine hata hawajawahi kufikia hiyo level ya elimu na wala hana hata mtoto wa rafiki yake na baba yake mkubwa aliyeathirika na tatizo hilo anapaza sauti na kulia kuliko wenye msiba.sasa kama hakuna vitabu mtoto atasomaje????TIE wameandaa mwongozo,vitabu hawajatoa,inakuwaje????na hili kwa sasa lipo,syllabus ni mpya ila hakuna vitabu,,,,wizara,TIE NA NECTA hawajasema,,,,