tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,240
- 4,466
Unaweza kuwahukumu/kuwashtaki. Ila sote tubadirike; yamkini hata anayelaumu angekuwa katika nafasi hiyohiyo angefanya vibaya. Yamkini anayelaumu naye ana shida zake kubwa kazini. TubadirikeNakubaliana nawe kabisa ni lazima watu wawajibike kwa taaluma zao, mara nyingi wajenzi wamewekwa kitimoto na serikali, hata wafanyakazi wengine kama watumishi wa ardhi nao wamekumbwa na kadhia hii ya kushitakiwa kwa maamuzi mabovu.
Ifike mahali na madokta washtakiwe pia