Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
mkuu, Gembe sina maana hiyounamaanisha kuwa inaongozwa na Nguvu za Giza?
Salva should Go na sitafute Mchawi hapa
yaani hawa jamaa, wameiweka nchi chini ya meza kiutawala, we ukiingia sebuleni utaangali
juu ya Meza lakini mabo yote uvunguni mwa meza, maana asiyependa wengine wajue mambo
mbali mbali ya kihabari juu uongozi wake ujue ni muovu, vipi atoe sirize?