Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
watanzania wenzangu,
Tumeshuhudia ajali kadhaa ambazo zimesababishwa na uzembe wa viongozi wetu. Mfano ni kama vile ulipukaji wa mabomu kule Mbagala na Gongo la Mboto. Habari za uhakika ni kuwa ulipukaji wa mabomu hayo yametokana na uzembe wa serikali kushindwa kutoa fedha kwa ajili ya kuyaharibu hayo mabomu yaliyokuwa yamekwisha muda.
Serikali inadai hakuna pesa lakini kila leo kuna semina za wabunge na maofisa wa serikali huku wananchi wanapoteza maisha na mali zao kwa uzembe wa serikali na hakuna anayewajibika.
Hii picha inaonyesha uzembe mwingine. Mpaka pale ajali itakapotokea kwenye kiwanja cha ndege Iringa, ndipo serikali itashtuka na kushughulikia hilo tatizo. Jionee mwenyewe.
Tumeshuhudia ajali kadhaa ambazo zimesababishwa na uzembe wa viongozi wetu. Mfano ni kama vile ulipukaji wa mabomu kule Mbagala na Gongo la Mboto. Habari za uhakika ni kuwa ulipukaji wa mabomu hayo yametokana na uzembe wa serikali kushindwa kutoa fedha kwa ajili ya kuyaharibu hayo mabomu yaliyokuwa yamekwisha muda.
Serikali inadai hakuna pesa lakini kila leo kuna semina za wabunge na maofisa wa serikali huku wananchi wanapoteza maisha na mali zao kwa uzembe wa serikali na hakuna anayewajibika.
Hii picha inaonyesha uzembe mwingine. Mpaka pale ajali itakapotokea kwenye kiwanja cha ndege Iringa, ndipo serikali itashtuka na kushughulikia hilo tatizo. Jionee mwenyewe.