Well said, mimi binafsi huwa natumia hii njia, ni nzuri na salama zaidi ukiizingatia.Njia salama kabisa ni kalenda
Well said, mimi binafsi huwa natumia hii njia, ni nzuri na salama zaidi ukiizingatia.Njia salama kabisa ni kalenda
Habari za mchana wana JF, Naomba kama kuna wataalamu humu wa masuala ya uzazi wa mpango wanisaidie kunijuza maanake sasa nina mtoto mmoja ila nlitka nikae kwa miaka 3 au 4 Mungu akipenda bila kuzaa. Ila kitu kimoja sikutaka kabisa mke wangu atumie hizi dawa na aina yoyote za majira za kufunga uzazi na viulevile sipendi kutumia kondom, nlichokuwa nahitaji kujua kama kuna uwezekano wa mwanaume kufunga lakini kwa njia salama zaidi
Please msaada wenu unahitajika sana.
<br><br>Nashukuru sana DR Riwa kwa ushauri wako na wengine ambao mmechangi katika mjaadala huu nitajaribu kuwaona wataamu ili niuone hw they gona help me Nakushauri nenda katika vituo vinavyotoa huduma ya uzazi wa mpango upate ushauri husika, kwa sabau kule wanasikiliza hadithi yako na kukushauri. Mwanaume akifunga uzazi, haimpunguzi nguvu za kiume hata...anakuwa rijali kama kawaida. Lakini ndio hataweza kutungisha mimba tena maishani mwake, kwani huo upasuaji wanafunga mrija wa kupitisha mbegu moja kwa moja.<br>
<br>
Kama una mpango wa kuzaa tena baada ya miaka mi3, nakushauri tumia njia nyingine mtakayoshauriwa katika kituo cha kutoa huduma za uzazi wa mpango kwa hiyo miaka mi3, kisha mkishazaa mtoto mnayemuhitaji na hamuhitaji tena...ndio ufunge!
Nakushauri nenda katika vituo vinavyotoa huduma ya uzazi wa mpango upate ushauri husika, kwa sabau kule wanasikiliza hadithi yako na kukushauri. Mwanaume akifunga uzazi, haimpunguzi nguvu za kiume hata...anakuwa rijali kama kawaida. Lakini ndio hataweza kutungisha mimba tena maishani mwake, kwani huo upasuaji wanafunga mrija wa kupitisha mbegu moja kwa moja.
Kama una mpango wa kuzaa tena baada ya miaka mi3, nakushauri tumia njia nyingine mtakayoshauriwa katika kituo cha kutoa huduma za uzazi wa mpango kwa hiyo miaka mi3, kisha mkishazaa mtoto mnayemuhitaji na hamuhitaji tena...ndio ufunge!
Side effects zipo lakini ni njia salama kabisa! Mdogo wako alipata reaction ya copper, Hizi loop hazina hormones lakini zina copper (shaba) kwa baadhi ya watu wako hypersensitive kwa copper. Mshauri atumie vipandikizi (implanon) nayo ni ya muda mrefu pia, kama hataki hormones pengine condoms ni alternative.
Natural family planning ni nzuri lakini failure rate yake ni kubwa.
kila kitu kina uzito wake hapo the bossogopeni ukimwi kwanza,halafu ndo muogope mimba
ogopeni ukimwi kwanza,halafu ndo muogope mimba
si vizuri kutoa mimba ,ila kama msichana man method hayo mi sikubaliani nayo naona ni vema kwa sababu mwanaume mwenyewe hukai nae mnashtua tu kiaina mkutane siku ambazo si za hatari sio vizuri kuexpose mwili kwenye madawa madawa ya uzazi meeeeeeeeeen
vipi kuhusu midoli?
kama mkiafiki nitajitolea kutengeneza midoli yenye sura na umbo kama langu halafu wewe afrodenzi unasambaza kwa wanaohitaji.
kila kitu kina uzito wake hapo the boss
mmmh! unaniangusha lizzy! kwani hujui midoli ndo the second safe way after abstaining from sex?Na hii inahusiana vipi na mada?