Mathias Lyamunda
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 1,369
- 558
ZeMarcopolo jinyonge, chadema lazima iingie ikulu
Last edited by a moderator:
wanafunzi wengi waliopo sekondari za kata hawastahili kuwepo sekondari, ni ujanjaujanja tu wa serikali fisadi ya ccm!Watuambie kwanini kuna zero 65% mwaka jana alafu watuambie ile miezi6 ya Bwana harusi wao P.M haijaisha? ..CDM 4life!
Hivi mtu anayekiita chama ambacho kimekuwa cha upinzani kwa miaka zaidi ya 20 kuwa hakijawahi kushindwa unamuitaje kama sio fanatic? The only alternative name is LUNATIC...
|
| |
|
sawa mutan. kwakuwa ww ni mhaya mfuate shemeji yako slaa kama cc. rutashobolwa au mushumbusi
hakika wana-chadema mpo kama watoto wadogo vile. Mnashindwa kupambanua ukweli na uongo. Hivi ni ccm gani atakae sema uzalendo umemshinda kubakia ccm na kwa hivyo ameamua kujiunga na CDM? mnajifurahisha na kujipa moyo wana-chadema ingawa sio mbaya sana. Mgonjwa kujipa matumaini ya kuishi ni jambo la kawaida. Hata hivyo nakukumbusheni kuwa mtoa mada sio mwanaCCM bali ni mwana CDM kindaki-ndaki. ameandika uzi huu kama ni sehemu ya propaganda za CDM za kusema uongo.