Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti.
Kawaambia kweli, maana kaona Uzini kamujibu wa Raza mmetumia millioni 60 kwa kujipatia kura 281 yaani kila kura moja mliyopata imewagharimu TZS 213,523 na mmeangushwa vibaya sana, mmpepata aslimia 5 tuu, (yes 5%) ya kura walizopata CCM, wamewagaragaza kwa asilimia 95.
Sasa huko Arumeru yuko mzee mamvi, aiseee, poleni na mapema. Ni kama kuchukuwa fedha za umma mkazi flash maliwatoni.
Hivi Faiza Foxy amebadili ID siku hizi?
Tiba
Pia unakua na akili kama za tambwe hizza.
Sera za kijinga za Ccm za uwekezaji,ziwezekeza jimbo la Nzega kwa mgeni,TUTARAJIE NINI?
Hivi Faiza Foxy amebadili ID siku hizi?
Tiba
Mvinyo ni ule ule ......
Amepigwa ban.Hivi Faiza Foxy amebadili ID siku hizi?
Tiba
Kawaambia kweli, maana kaona Uzini kamujibu wa Raza mmetumia millioni 60 kwa kujipatia kura 281 yaani kila kura moja mliyopata imewagharimu TZS 213,523 na mmeangushwa vibaya sana, mmpepata aslimia 5 tuu, (yes 5%) ya kura walizopata CCM, wamewagaragaza kwa asilimia 95.
Sasa huko Arumeru yuko mzee mamvi, aiseee, poleni na mapema. Ni kama kuchukuwa fedha za umma mkazi flash maliwatoni.
Inawezekana pia zikawa kama za job Ndugai
Naamini mnakumbuka kuwa uchaguzi 2010 jimbo la Nzega H. Kigwangala alishindwa kwenye kura ya maoni lkn alipitishwa tu kwa mizengwe. Baada ya kushinda uchaguzi mkuu akaanza kazi kwa mbwembwe tukahisi kuwa tumewapata angalau wabunge vijana wawili (January na Hamisi) kutoka chama hicho dhalima ambao wangekuwa watetezi wa wanyonge na vijana kumbe hamna kitu!
Juzi tumemuona Kigwangala akiwatetea madaktari kipindi cha mgomo na hata alidiriki kujaribu kupinga ongezeko la posho ya wabunge kumbe danganya toto.
Eti leo bila aibu Hamisi anawashauri CHADEMA wasimsimamishe mgombea Arumeru Mashariki eti ni uharibifu wa fedha! Kama kweli ana uchungu na fedha za watanzania mbona hajawashauri mafisadi wakubwa wa CCM wa EPA, Richmond, Kagoda, IPTL nk?
Leo nimeamini kuwa huyu Kigwangallah ni mnafiki namba moja na hafai na ndani ya CCM hamna kiongozi hata mmoja anayeweza kusimamia maslahi ya Taifa hili, ila 2015 siyo mbali!
demokrasia ina gharama kubwa,hata ikatokea mkafa wabunge wote lazima uchaguzi ufanyike.Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia ndani ya mfumo wa vyama vingi.Fikra mgando ni ombwe kubwa la uongozi,heri uchi wa nyama kuliko uchi wa akili,poleni sana watu wa magamba.Nzega bado hawajalipwa haki zao mara baada ya kunyang'anywa ardhi na kupewa wakoloni,ziko wapi harakati zako ulizozianzisha,au ndiyo unajaribu ku-cope toka wana CCM mara baada ya mkwara wa Ridhiwan,kuwa mbona unawageuka hutaki kuwasaidia wakati wao walikusaidia kupata ubunge!Mpiganaji makini kama Che-Guevera haangali rangi ya bendera katika mapambano ya harakati za Mtanzania maskini.