Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,046
- 5,092
alafu zikafanana na akili za Komba
halafu zikafanana na bi kiroboto wa daladala
alafu zikafanana na akili za Komba
Kumbe ameshauri....sioni kama kuna dhambi kumshauri mtu..
Wewe unajuwa kuwa Arumeru hamna chenu. Mshaanza kujitetea mapema.
Lowassa anatisha, halafu hawa CCM nuksi kweli, wameenda kumteua mkwewe? hawa wamefanya kusudi magwanda muumie roho.
watahangaika sana zomba, lakini ikifika mwisho imefika tuuu, now its their turn, wametunyonya sana, wametudhalilisha sana,wametudharau sana, sasa kama ikitokea mahali CCM wameshinda kama arumeru, basi kunakitu cha ziada sio mapenzi kwa chama kutokana ma maendeleo ya jimbo na mtu mmoja mmoja kwa muda wa miaka hamsini sasaWewe unajuwa kuwa Arumeru hamna chenu. Mshaanza kujitetea mapema.
Lowassa anatisha, halafu hawa CCM nuksi kweli, wameenda kumteua mkwewe? hawa wamefanya kusudi magwanda muumie roho.
Kawaambia kweli, maana kaona Uzini kamujibu wa Raza mmetumia millioni 60 kwa kujipatia kura 281 yaani kila kura moja mliyopata imewagharimu TZS 213,523 na mmeangushwa vibaya sana, mmpepata aslimia 5 tuu, (yes 5%) ya kura walizopata CCM, wamewagaragaza kwa asilimia 95.
Sasa huko Arumeru yuko mzee mamvi, aiseee, poleni na mapema. Ni kama kuchukuwa fedha za umma mkazi flash maliwatoni.
Inawezekana pia zikawa kama za job Ndugai
CCM mpaka sasa jimbo la Arumeru mmeshatumia mil 168...........Sioi Sumari katumia mil 100 na chama kimetumia mil 68 hapo kampeni za ndaya ya chama je mkianza kampeni za vyama kwa vyama mtatumia kiasi gani wewe unazungumzia mil 60.... mbona hamzungumzii kiasi gani mlitumia kule Igunga.....acha uzobaKawaambia kweli, maana kaona Uzini kamujibu wa Raza mmetumia millioni 60 kwa kujipatia kura 281 yaani kila kura moja mliyopata imewagharimu TZS 213,523 na mmeangushwa vibaya sana, mmpepata aslimia 5 tuu, (yes 5%) ya kura walizopata CCM, wamewagaragaza kwa asilimia 95.
Sasa huko Arumeru yuko mzee mamvi, aiseee, poleni na mapema. Ni kama kuchukuwa fedha za umma mkazi flash maliwatoni.
Mkuu heshima kwako, je ulisha kaa na mzee ukamuuliza msimamo wake juu ya posho, tumeona watoto wa mafisadi wakichukua nyazifa mbalimbali vipi wewe una mpago gani..... turudi kwenye topic huyo mbunge wa upinzani atakuwa Shibudakwa macho yangu na masikio nimeona mbunge mmoja wa Upinzani akimshambulia kwa ajili ya kukataa kwake posho na yeye akimcheka bila ya wasi wasi kabisaa!