Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wakuu
Kwa kimombo kama sijakosea maneno hayo ni Patriostism, Efficiency na effectivenss. Kwa kiongozi au mfanya maamuzi yeyote hayo ni mambo matatu muhimu ya Kuzingatia.
Katika Kudadavua mtandao nikakutana na kipande Hiki
Kwahiyo tunaona kumbe sio tu suala la usalama linaloamua gani litumiwe kwa viongozi au sio tu suala la utaratibu wa zabuni. Kuna uzalendo ndani yake na sometime kuna kutazama tija na ufanisi.
Sasa Kwa kina HKigwangalla, Nape Nnauye, Zitto, John Mnyika
any way nimegusia mfano wa magari.; Lakini kwa wanajamvi tujadiliane kwa hoja zaidi ya nadharia ni maamuzi gani au taratibu gani au mambo gani yanatakiwa kutowepo au kuwepo ili utendaji uwe wa tija ufanisi na wakti huohuo wakiweka maslahi ya taifa?
Yaani wewe mwana JF ungekuwa waziri au chochote cha kimaamuzi nimambo gani kwako ungeyapa kipaumbelele kwenye majukumu na wajibu wako na ungeyafanikisha vipi, bora zaidi kuliko inavyofanyika sasa ?
NB
In this case tuna-assume tanayo katiba mpya tayari tena safi kabisa. so sitegemei response ya tunahitaji katiba mpya.
Tuendelee
Kwa kimombo kama sijakosea maneno hayo ni Patriostism, Efficiency na effectivenss. Kwa kiongozi au mfanya maamuzi yeyote hayo ni mambo matatu muhimu ya Kuzingatia.
Katika Kudadavua mtandao nikakutana na kipande Hiki
.........Official state cars are often those of domestic manufacturers, allowing the head of state and the government of each respective country an opportunity to show confidence in their nation's automotive industry, and allow their automakers a chance to demonstrate their technology and skill by creating a special vehicle for the task.[SUP][1][/SUP] For example, the President of the United States rides in the domestic Cadillac, the Emperor of Japan uses a Toyota, the Prime Minister of Italy uses a Maserati. The British monarch uses a British built Bentley from the company owned by Volkswagen.[SUP][1][/SUP] Some countries alternate between vehicles made by each of their domestic manufacturers, and it is considered an honour for a car manufacturer to be selected to provide a state car for their respective country.[SUP][1][/SUP] ...... chanzo Official state car - Wikipedia, the free encyclopedia
Kwahiyo tunaona kumbe sio tu suala la usalama linaloamua gani litumiwe kwa viongozi au sio tu suala la utaratibu wa zabuni. Kuna uzalendo ndani yake na sometime kuna kutazama tija na ufanisi.
Sasa Kwa kina HKigwangalla, Nape Nnauye, Zitto, John Mnyika
- swali Kwa wana CCM na serikali yake na wabunge ni vigezo gani bado vinatumika kuendlea na mashangaigi kwa vingozi amabao hata kwa safari zao za mkoa a wanapaa kwa ndege ?
- Swali kwa CDM CUF na NCCR, etc je wenzetu mngekuwa na serikali ni gari gani mawaziri, RC,,DC na watendaji wakuu wagetumia? Ni vigezo gani mtavitumia. zaidi magari mawaziri.wenu watastahiki kukaa kwenye nyumba za vyumba vingapi , wapi? etc....
any way nimegusia mfano wa magari.; Lakini kwa wanajamvi tujadiliane kwa hoja zaidi ya nadharia ni maamuzi gani au taratibu gani au mambo gani yanatakiwa kutowepo au kuwepo ili utendaji uwe wa tija ufanisi na wakti huohuo wakiweka maslahi ya taifa?
Yaani wewe mwana JF ungekuwa waziri au chochote cha kimaamuzi nimambo gani kwako ungeyapa kipaumbelele kwenye majukumu na wajibu wako na ungeyafanikisha vipi, bora zaidi kuliko inavyofanyika sasa ?
NB
In this case tuna-assume tanayo katiba mpya tayari tena safi kabisa. so sitegemei response ya tunahitaji katiba mpya.
Tuendelee