Persie
Senior Member
- May 2, 2012
- 188
- 15
Salam kwenu wana jamvi hivi kweli uzalendo tuliofundishwa na mwalimu Nyerere,mapendo tunayofundishwa katika dini zetu tofauti hivi ni haki m2 unamwacha mwenzako anaugua mpaka anakata roho et unataka uongezewe mshahara unamwacha mwanafunzi alieamriwa na Mungu aishike sana elimu anaranda randa mitaani et waalimu wamegoma hivi kweli huyu Mungu aliekupa kipaji hicho cha kua daktari au mwalimu kweli unafikiri anapendezwa kwa kitendo unacho kifanya kisa ya pesa wakati mshahara unaoupata kuna watu hata robo yake hawapati lakini wanaishi namalizia kwa kutoa ushauri jamani tutafuteni njia nyingine za kutatua matatizo yetu zingine kama hizi hazifai kwa nchi kama hii ya liwalo naliwe nawasilisha