chairman mao
Member
- Mar 15, 2011
- 38
- 4
Kuna nyakati natamani nikabidhiwe nchi hii.
ningeanza na mafisadi hawa na tungenyooka kama kwetu china.
ningeanza na mafisadi hawa na tungenyooka kama kwetu china.
Kuna nyakati natamani nikabidhiwe nchi hii.
ningeanza na mafisadi hawa na tungenyooka kama kwetu china.
Biblia Takatifu inatuambia kwamba:
Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, atavunjika ghafla wala hatapata dawa. Mithali 29:1
Inamhusu sana Lowassa.
Biblia Takatifu inatuambia kwamba:
Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, atavunjika ghafla wala hatapata dawa. Mithali 29:1
Inamhusu sana Lowassa.
Biblia Takatifu inatuambia kwamba:
Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, atavunjika ghafla wala hatapata dawa. Mithali 29:1
Inamhusu sana Lowassa.
Mbopo wewe lazima "Nginde" unaijua vyema! Ya kwamba moyo wa tamaa wa huyu Bwana hauna uvumilivu hata kidogo.Angekuwa anasoma biblia angejua kumuogopa mungu wake na kujifunza kuwa muadilifu. Huyu bwana shetani wa maovu keshamuingiza kwenye majaribu na sasa majuto kayaweka kando.
mzalendo,
inawezekana maanake hata mzee sitta anasema kuna watu kumi tu wanayumbisha nchi hii, hivi karibuni nimefuatilia magazeti ya rostam na lowassa,wao wakibomoa CDM wao ni Mhe Rais Slaa na Mhe Zitto tu,hayo magazeti husana mtanzania wanakwambia mbowe kakomaa kisiasa,
chonde chonde hapa sisemei ukanda hila muungano wa wafanyabishara kubaka nchi yetu, kwahiyo sishangai kabisa kwamba kuna element za kuungana kwa wafanya biashara kuzidi kothofisha mwenendo wa nchi hii
hitimisho hata kunguru atengenezwaje kulika kwake kunataka moyo
Hili nalo neno.Wewe hujui siasa za nchi hii. Kwa mtanzania, mwanasiasa aliyekomaa chadema ni Zitto wala si Mbowe. Hapa sema tu una agenda yako!