Uwt, uhamiaji, makinda, lwenge na jah people mnalifahamu hili? TANWAT

Melanoxylon

Member
Nov 13, 2011
11
4
Wanabodi!

Heri ya mwaka mpya, taarifa nilizozipata kutoka chanzo cha kuaminika ni kuwa kampuni ya shamba la miti ya miwati (TANWAT) ambayo awali ilikuwa inamilikiwa na CDC (uingereza) na baadae kuuzwa kwa RAI group (INDIA) wamiliki wa mufindi paper mill MPM awali SPM.

Hali si shwari kwan kumekuwepo na hali uzalilishaji wa wafanyakazi wa hali ya juu (mishahara kidogo pia inachelewa, usalama kazin hauzingatiwi), security of employment not secured, cha ajabu zaidi kila sekta WAHINDI wamerundikana mpaka kazi za ukarani wa mafuta, supervisors, (in the name of experts) but pia kuna baadhi hawajui kusoma wala kuandika they only know KIHINDI.

Uongozi wa vyama vya wafanyakazi walishahoji juu ya masuala haya na kujibiwa kuwa Indian wanaingia nchini kwa kufuata taratibu zote but kwa mujibu wa sheria ya uhamiaji inayohusu kupata kibali cha ukazi lazima kuwe na vacancy (with special requirement) ambayo itakuwa imetangazwa ndani ya nchi na wataalamu hao kukosekana ndipo experts wanaingia.

Tanwat kwa udogo wake mpaka sasa hivi wpo 30+ indians, swali kwa hao niliwataja mnayajua haya?..... Tz tuna tatizo la unemployment kwa vijana (mnaowaita wazembe/wavivu) hawa watu nisahihi kujazana hapa???????? Remember TANWAT ndo chanzo cha Njombe mji.

Nawasilisha
 
Ndugu sishangai Wahindi kuchukua nafasi za kazi ambazo kisheria zingefanywa na Watanzania katika kampuni ya TANWAT, tatizo ni viongozi wetu tunaowachagua kusimamia mamlaka zetu, Wamewasahau Wananchi wao wakiangaika na kujali maslai yao. Angalia jimbo la Njombe Mjini (Njombe Kusini) lina vyanzo vingi vya maji kila mahali lakini Wananchi wake (Wabena) wanahangaika hawapati Maji safi na salama na hata wale wachache wanayoyapata kutoka ktk mabomba ni machafu hayachujwi watu kila wakati wanasumbuliwa na homa za matumbo nenda hospitali ya Kibena inayotegemewa haina dawa, watu wanahangaika barabara za Njombe mbovu kwa muda mrefu yani ni shida tu, na bado kama sisi Wananchi hatutataka mabadiliko tutaendelea kupata shida.
"all we need is changes"
 
Nchi yetu imeshakuwa shamba la bibi hata raia wa nje wameshtukia wanakujajichotea ambavyo serikali haivithamini!
hv swali la kujiuliza ni kwamba kuna haja gani ya kujenga shule +vyuo for expert production wkt kila cku tunaimport hadi makarani? serikali yetu ijiangalie maana hiki ni kiashiria kibaya juu ya mustakabali wa "kisiwa cha amani"
 
Sio Wahindi tu, angalia upande wa Wachina. Wapo ambao kazi yao ni kubebe maboksi kutoka maghala ambayo yapo hapa Kariakoo. Yupo mmoja analala ndani ya ghala! Kweli hawa wamekuja kusaidia uchumi wetu au kuuchukua? Ukifuatilia, watu wako bize ajabu...nenda tutafuatilia.
 
Back
Top Bottom