Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Kuna ka-trend huyu mwanasiasa anaanza kukatengeneza, kwanza baada ya kushinda au sijui kupewa jimbo la 'Bumbuli' akaja na ka website kake na ahadi luluki kwa wanabumbuli. Moja wapo ikiwa alidai atakopa sijui wapi huko anakokujua hili awekeze kwenye miradi ya bumbuli lakini chali. kuna suala la umeme alisema hatasimama kidedea na wizara yale yale chali. Inaonekana ni mtu wa kuropoka-ropoka si ajabu leo tena anakuja na uongo mwingine may be just be January Makamba is a 'Pathological liar'.