Kona hii tuweke uwongo tunaousema au tuliousikia ukisemwa Baa.
Mi nilisikia njemba meza ya pili akimwambia binti eti yeye ana hela nyingi mpaka meneja wa benki huwa anamletea nyumbani,nikawaza mbona hata kina Bakhresa huwa tunagongana kwenye Mabenki ? sawa hawakai foleni kama sisi lakini wanakuja na kuhudumiwa pale.
Mi nilisikia njemba meza ya pili akimwambia binti eti yeye ana hela nyingi mpaka meneja wa benki huwa anamletea nyumbani,nikawaza mbona hata kina Bakhresa huwa tunagongana kwenye Mabenki ? sawa hawakai foleni kama sisi lakini wanakuja na kuhudumiwa pale.