Uwingi wa ajari na kutojua idadi ya abiria.

Gama

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
13,266
4,716
Hebu tulitazame hili la ajari kutokea na kutokuwa na idadi kamili ya abiria waliopo katika chombo. Kwanini mamlaka husika hazikomeshi uzembe huu?, ni kipi kifanyike ili kuepuka fedheha hii?!
 
Ni jambo la ajabu mpaka leo hii hatuwezi kutoa idadi kamili ya abiria wanapokuwa safarini kwenye vyombo vyetu vya usafiri.Tunahitaji kuangalia kwa hekima jambo hili hasa wamilki wa vyombo vya usafiri pamoja waliopewa dhamana ya kusimamia vyombo hivi waelewe masihara au uzembe juu ya suala hili linagharimu maisha ya watanzania.Tuwe na utamaduni wa kuwajibishana bila kuoneana aibu maana kwenye vyombo vya usafiri kulindana ni kuchezea uhai wa mtu ambao hauwezi kuthaminishwa kwa namana yoyote ile. Jisikie kuguswa unapochangia kupotea uhai wa Binadamu mwenzio kwa sababu ya uzembe wako au kutowajibika kwako.THIS IS TOO MUCH!!!
 
Ni jambo la ajabu mpaka leo hii hatuwezi kutoa idadi kamili ya abiria wanapokuwa safarini kwenye vyombo vyetu vya usafiri.Tunahitaji kuangalia kwa hekima jambo hili hasa wamilki wa vyombo vya usafiri pamoja waliopewa dhamana ya kusimamia vyombo hivi waelewe masihara au uzembe juu ya suala hili linagharimu maisha ya watanzania.Tuwe na utamaduni wa kuwajibishana bila kuoneana aibu maana kwenye vyombo vya usafiri kulindana ni kuchezea uhai wa mtu ambao hauwezi kuthaminishwa kwa namana yoyote ile. Jisikie kuguswa unapochangia kupotea uhai wa Binadamu mwenzio kwa sababu ya uzembe wako au kutowajibika kwako.THIS IS TOO MUCH!!!

Ndugu zangu nchi hii kwa hivi sasa sijui tunakokwenda kwani matatizo kama haya yanapotokea tunapenda kulaumu vyombo vilivyoweka kusimamia lakini vyombo hivyo vikifanya kazi zake tunavilaumu sana. Kwa mfano siku ya j'mosi iliyopita nilipanda basi la mbeya express kuelekea mbeya na tulipofika morogoro askari aliingia ndani ya basi na kuomba manifest. baada ya kupewa akafanya random check kuthibitisha kama kweli majina ya wasafiri yana kubaliana na list ya manifest. askari huyo alikuta abiria kadhaa ambao majina/na ya tiketi hazikubaliani na list ya manifest hivyo akaamuru kondakta alipte faini palepae stendi. lakini cha kushangaza abiria walilalamika sana kutokana na uamuzi huo wa polisi tena kati ya waliolalamika ni wasomi wa chuo kikuu cha teku ambao walibeba bango hilo hadi likageuka kuwa la kisiasa.
Tanzania ni zaidi tuijuavyo [you are damned if you do and you are damned if you dont] god have mercy on us
 
Ndugu zangu nchi hii kwa hivi sasa sijui tunakokwenda kwani matatizo kama haya yanapotokea tunapenda kulaumu vyombo vilivyoweka kusimamia lakini vyombo hivyo vikifanya kazi zake tunavilaumu sana. Kwa mfano siku ya j'mosi iliyopita nilipanda basi la mbeya express kuelekea mbeya na tulipofika morogoro askari aliingia ndani ya basi na kuomba manifest. baada ya kupewa akafanya random check kuthibitisha kama kweli majina ya wasafiri yana kubaliana na list ya manifest. askari huyo alikuta abiria kadhaa ambao majina/na ya tiketi hazikubaliani na list ya manifest hivyo akaamuru kondakta alipte faini palepae stendi. lakini cha kushangaza abiria walilalamika sana kutokana na uamuzi huo wa polisi tena kati ya waliolalamika ni wasomi wa chuo kikuu cha teku ambao walibeba bango hilo hadi likageuka kuwa la kisiasa.
Tanzania ni zaidi tuijuavyo [you are damned if you do and you are damned if you dont] god have mercy on us

lakini pia hata serikali yenyewe yashangaza: sumatra walifukuzwa zanzibar kama nyau kisa wamefanya ukaguzi wa vyombo vya majini na kuona vinakasoro-punde meli ya spiceislander na kuonekana kuwa kumbe haikuwa na maritime worthness achilia mbali kutosha kukatiwa bima.
 
Back
Top Bottom