Uwiiiiiii shetani amelalia watu vichwani

lile jukwaa sio kabisa mara buchanan sijui anakuja na posti ohhh mbuzi ala quran, nguruwe alalia quran
hata huwa siwaelewi
 
Mantiki ya hiyo red ilikuwa heshimu anachoamini mwingine, maana hata anayeamini kingine ni kwa sababu alijikurta katika mazingira hayo.

Blue, hata kama ulizaliwa huko hukatazwi kubadili msimamo ukiwa na akili timamu


Green, hata kama ulifuata mkumbo, sioni kwa nini usijadili mkumbo huo as long as akili yako na hoja zako zinakuruhusu na hautukani wengine

Wewe ulisema wengi wanafata kwa sababu walizaliwa kwenye familia za dini hizo, na iwapo wangezaliwa kwenye dini nyengine basi wangekuwa waumini wa dini nyengine.

Kwa mantiki hiyo hayo ni kufata mkumbo tu.


Na kama unafata mkumbo tu, unajadili na mwengine ili iweje?
 
lile jukwaa sio kabisa mara buchanan sijui anakuja na posti ohhh mbuzi ala quran, nguruwe alalia quran
hata huwa siwaelewi
Tatizo lao dini zao haziwafundishi kuchukia dini zingine, lakini "mapokeo" yao yanawafanya wazichukie dini zingine!!
 
Kuna toafauti ya kukariri, kuelewa, kuchanganua
Unaona kitu unachotaka kuona

Na kama unataka kufahamu zaidi pitia historia za kidunia za dini
Ili uweze kuunganisha na misahafu

Hata dini zina stages of growth.
Mimi nadhani mambo ya dini huwafanya watu wajisikie wakosefu muda wote na ni dhaifu. Lakini pia dini kubwa duniani (ukiondoa Ubudha) zimejengwa katika misingi ya Uhasama wa Mashariki ya Kati. Wakristo wanaamin Ibrahim alimzaa Isaka ambaye ni chimbuko la wana Israel ambao ndiyo msingi wa ukombozi wa wanadamu kupitia Yesu Kristo ambaye ni uzao wa Daudi.

Lakini Waislamu wanaamini Ibrahim alimzaa Ishmael ambaye ndiye chanzo cha sehemu kubwa ya Waarabu ambao nao wao pia wanamuona Ibrahim kama baba wa Imani kama wakristo wanavyoamini. Wakati ugomvi wa waarabu na Israel ni wa Kihistoria na wala hauhusiani na dini hizi za Kiislam na Kikristo, waumini wa dini hizi mbili wanadhani ugomvi huo ni sehemu ya dini zao. Kumbuka Wafilisti ndiyo Wapalestina!!

Leo hii muislamu wa Tanzania anaamini kwamba anapoitetea Palestina (ingawa kuna wapalestina wakristo) dhidi ya Israel (ingawa Waisrael wengi 90% hawaamini katika Ukristo) anakuwa anautetea Uislam, na Mkristo naye anasisimka anapoitetea Israel kwa kuamini kuwa ni taifa teule la mungu.

Kwa hiyo Kwenye Jukwaa la dini huwa mitusi inaporomoka hovyo hovyo kwa sababu dini hizi mbili zimejengwa juu ya msingi wa kiuhasama na wao waliozisanifu (Siyo Mtume S.A.W au Yesu Kristo) nje ya msingi uliowekwa na waasisi wa dini hizi ambao ni upendo, amani, mshikamano, nia njema. Ndiyo maana salaam ya "Asalam aleykhum" ina mantiki katika kujenga hoja ya Uislam lakini ni waislam wangapi wanaoamini kwamba hata wasio waislam nao wanatakiwa kuishi kwa Amani? Kama yesu alikuja kuwakomboa wanadamu ni ukombozi gani unaotenga sehemu ya wanadamu hao mbali?
 
Kuna toafauti ya kukariri, kuelewa, kuchanganua
Unaona kitu unachotaka kuona

Na kama unataka kufahamu zaidi pitia historia za kidunia za dini
Ili uweze kuunganisha na misahafu

Hata dini zina stages of growth.
Sijakuelewa kabisa Kongosho. Mimi nilikuwa najaribu kueleza ni kwa nini kwenye jukwaa la dini kuna vurumai ya kurushiana matusi. Lakini sijaelewa ni kwa nini umeni quote na kuandika ulichoandika!!
 
Mantiki ya hiyo red ilikuwa heshimu anachoamini mwingine, maana hata anayeamini kingine ni kwa sababu alijikurta katika mazingira hayo.

Kuamini kwa sababu ulijikuta kwenye mazingira tu, ni kufuata mkumbo
 
wachangiaji wa kule wote ni makafiri ndiyo maana wanatukanana kwa kwenda mbele...nsha acha kwenda huko.
 
Nilimaanisha
Ukiona mtu anatukana na kushindwa kuvumilia wengine
Kakariri
Sijakuelewa kabisa Kongosho. Mimi nilikuwa najaribu kueleza ni kwa nini kwenye jukwaa la dini kuna vurumai ya kurushiana matusi. Lakini sijaelewa ni kwa nini umeni quote na kuandika ulichoandika!!
 
uhusiano ndo huo hapo

mambo.hebu nambie hii jf ya keo mbona kimeo sana,wameondoa todays post.yani hata huwezi kuona nini kipo hot.enewei itanisaidia kukocentrate na mambo yangu maana naona hata uvivu kusechi.
 
[Uislaam ni dini ya amani. Uislaam unafundisha kutumia nguvu ya hoja kwanza. Lakini haina maan hati pale tunapo dhuriwa ki ibada tunyamaze au kutoa shavu la upande wa pili. Popote unapo ona waislaam wanapigana juwa ni kwa sababu nguvu za hoja zimeshindikana. Kujitetea ni haki ya kila mwenye kudhulumiwa.When there is nothing to say I would let sleeping dogs lay]Kweli kabisa.
[TAALA ILA KALIMATI SAWAI BAINA NA WA BAINA KUM. ALA NA ABUDU ILA LLAH]​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom