Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Mwanajeshi ni rafiki yake na risasi bomu n.k. hivyo hana machozi ati!!!!Kwani mwanajeshi ni nani?hebu toa upupu hapa
Ovyoo kubwa zima,akili hunaMwanajeshi ni rafiki yake na risasi bomu n.k. hivyo hana machozi ati!!!!
Umeniheppisha!! na kunichakachua kicheko changu!Ovyoo kubwa zima,akili huna
Kweli, na pia kwa kuwa wamekua wakifahamu kuwa Rais wao ndiye mtabe kuliko USA na wamagharibi, kama sisi tulivyokuwa tunaelezwa juu ya Idd amini dada na comredi Gaddafi.hao ndio wapo karibu na mrija kama hamjui
Hahahaaaaa.... Kwweli povu halina hiyanaOvyoo kubwa zima,akili huna
Hahahaaaaa.... Kwweli povu halina hiyana
Umenena.ni wadamu tu. wanatumia damu si petrol..
Kulia,kucheka, tabasamu, kasirika mambo ya
kawaida tu .....