Arusha Mambo
Senior Member
- Jan 27, 2011
- 174
- 150
Muhimu:
Arusha Mambo italeta sehemu ya hukumu inayosomwa na Judge Agustino Ramadhani jijini Nairobi, hukumu hiyo inayofuatia tukio la Kiongozi wa juu katika Serekali ya Kenya NANCY BARAZA la kumtishia mlinzi (Korokoroni) Silaha baada ya kutakiwa kufuata utaratibu wa kupekuliwa kabla hajaingia kwenye jengo lililokuwa linalindwa na Mlinzi huyo.
Judge Agustino Ramadhani anasoma hukumu hiyo kwa ufasaha wa hali ya juu,
tunawakilishwa kwa Ubora usiopimika, Wakenya wanamsikiliza kwa umakini Mkubwa huku akichambua vifungu vipya vya kisheria vya Katiba ya Kenya na vifungu mbalimbali vya Sheria za Kimataifa.
Hukumu hiyo itawajia mara tu baada ya kusitishwakwa kikao cha Bunge Mjini dodoma.
Ili kusikiliza bonyeza hapa:
http://tunein.com/tuner/?StationId=158711&
Redio ikifunguka usiache ku LIKE na kutuma maoni yako kwa info@arushamambo.com