Uwezo wa Ubongo na Jicho la mwanadamu

rajabkisauti

JF-Expert Member
Aug 16, 2015
566
314
Moja ya maswali magumu niliyoulizwa na my frend wangu ni kuwa binaadamu jicho lake lina megapixel ngapi?? Hii nikutokana nilimwambia jicho la binadamu ni mfano mzuri wa kamera ya simu yake (iphone 6) haikuishia hapo akauliza ubongo wa binaadamu una RAM , HDD na CPU ngapi kimakadirio?...tusaidiane kupeana majibu
 
Kabda ya kupeleka dhana zako kwenye specification za pc

Jaribu kuji angalia interms of biological perspective .. Vutia picha utendaji kazi wa ubongo wako, macho, masikio, neurological systems, muscles, tissues, na hizo organs zako kiutendaji then uje kwenye hilo la akili... Baada ya hapo utajijibu kila kitu katika swali ulilo jiuliza
 
Back
Top Bottom