ASHA mtoa mada ametaka kujua wanaume sio wanawake
Ni katika umri upi Mwanaume huwa kiwango cha uwezo wa kufanya tendo la ndoa hushuka. Msaada jamani? Mpooo!
he he he namjua mzee miaka 92 lakini cheki damu inavyochemka..mmhhhh
hakuna jibu sahihi la muhimu ni furahia chochote ulichonacho na pata lishe na mazoezi ya kutosha hasa madogo madogo ya ktuembea...............angalau kilometa mbili kwa siku.......................
he he he namjua mzee miaka 92 lakini cheki damu inavyochemka..mmhhhh