Kuna taarifa kuwa kuna sheria za mifuko ya jamii zinazokusudiwa kanzishwa lengo ikiwa ni kumbana mteja- mwanachama wa mifuko hiyo. Nijuavyo mimi mifuko hii ilianzishwa ili kumuudumia mteja aliyejisajili, na mifuko hii inawajibika moja kwa moja kwa wateja wake. Swali ni je ikiwa kuna sheria zinakusudia kumbana mteja kiasi kwamba akisha jiunga na mfuko mmoja wapo kati ya hiyo mifuko hataruhusiwa kuhama,au kusitisha mkataba mpaka kwa kiwango cha mda flani na kwa kutimiza kiwango fulani cha mchango wake....mimi naona si sawa..Je sheria hizi ni kwa manufaa ya nani na zinakusudia nini?
WATANZANIA TUSIKUBALI..
WATANZANIA TUSIKUBALI..