mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Hii ni kazi tena inaleta faida kwa Jamii 1.wanasaidia wanaume wenye midomo zege na aibu ya kutongoza 2.wanasaidia wanaume walio bussy na kazi na biashara ambao wanakosa muda wa kutongoza na kufuatilia demu miezi. 3. Ni chanzo cha ajira na hivyo kupunguza umasikini 4. Chanzo cha mapato cha serikali iwapo itaweka tozo kwenye hii biashara ulaya wanapeta kwa kodi hii!!