Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Habarini wana JamiiForums, heri ya Mwaka mpya.
Naomba kuuliza kuwa ni sahihi kuweka pattern kwenye simu kwa wale wanandoa au wachumba. Kwani kwa wanandoa ni tayari mmeshakuwa mwili mmoja na hakuna siri baina yenu mnatakiwa kuwa wazi kwa kila mnalofanya.
Na kwa wale wachumba tena hao ndo hawafai kabisa kufichana kitu kwani wao wanakaribia kuwa Mwili mmoja kwanini wanaweka hizo pattern kwenye simu.
Karibuni wakuu kuchangia.
Naomba kuuliza kuwa ni sahihi kuweka pattern kwenye simu kwa wale wanandoa au wachumba. Kwani kwa wanandoa ni tayari mmeshakuwa mwili mmoja na hakuna siri baina yenu mnatakiwa kuwa wazi kwa kila mnalofanya.
Na kwa wale wachumba tena hao ndo hawafai kabisa kufichana kitu kwani wao wanakaribia kuwa Mwili mmoja kwanini wanaweka hizo pattern kwenye simu.
Karibuni wakuu kuchangia.