kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
ha ha ha ha ha ha ha wewe chiboko!!.. ila ni kweli!!Labda kwa ushauri wa bure tu....ukiona mtu yuko so protective na simu yake kwa mwenza wake, basi most likely huyo ndio anajifunza kucheat! Cheaters 'wazuri' wanakupa 'full access' na unatoka kapa!