Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Kwa wale ambao tumeona awamu zote nne za uongozi wa nchi yetu, na hata wale ambao hawakuona ila wameweza kuchukua muda wao kufuatilia jinsi nchi ilivyoongozwa..naomba tusaidiane hapa,
Hivi hadhi ya cheo cha uwaziri bado ni ile ile tulioyoijua katika miaka 1960, 70, 80 hadi sasa??
DC
Hivi hadhi ya cheo cha uwaziri bado ni ile ile tulioyoijua katika miaka 1960, 70, 80 hadi sasa??
DC