DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Nimekuwa nikikusanya maoni toka jana ya M'badala wa uwanja wa NMC 'chadema square' baada ya kufungwa na serikali ya Magamba huku walio wengi wakipendekeza Uwanja ama eneo la wazi la Suye Masai camp mandela road utumike kuendelea kusaka ukombozi.
WALIOTOA MAONI YAO WAMEZINGATIA KUWA HAKUNA ENEO JINGINE MBADALA HAPA MJINI TOFAUTI NA HILO LINALOFIKIKA KIRAHISI NA WAPO TAYARI KUFIKA KWANI HATA PALE NMC HUWA WANAENDA KWA KUWA HAWAISHI KARIBU NA HAPO NA WAPO TAYARI KUTUMIA GHARAMA KWENDA POPOTE CHAMA ITAKAPOPENDEKEZA.
Nakaribisha maoni binafsi ambayo makamanda wetu wakuu watayafikiria. ILA ANGALIZO KWA MAGAMBA WASIJE TAFUTIA SOKO ENEO LENYEWE KUIDHIBITI CDM.
WALIOTOA MAONI YAO WAMEZINGATIA KUWA HAKUNA ENEO JINGINE MBADALA HAPA MJINI TOFAUTI NA HILO LINALOFIKIKA KIRAHISI NA WAPO TAYARI KUFIKA KWANI HATA PALE NMC HUWA WANAENDA KWA KUWA HAWAISHI KARIBU NA HAPO NA WAPO TAYARI KUTUMIA GHARAMA KWENDA POPOTE CHAMA ITAKAPOPENDEKEZA.
Nakaribisha maoni binafsi ambayo makamanda wetu wakuu watayafikiria. ILA ANGALIZO KWA MAGAMBA WASIJE TAFUTIA SOKO ENEO LENYEWE KUIDHIBITI CDM.