Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Uwanja wa NMC maarufu kwa mikutano ya CDM umewekewa uzio wa wavu kuzunguka.Wakiwa busy wakandarasi huku akina mama wakionekana kwa makundi wakikimbizana na watu wakigombea nafasi kiholela sana.Hakuna hata utaratibu wa kujua nani kapata nani kakosa au nani kapata nafasi zaidi ya moja.Katika hali inayoonekana kuwa ni kukurupuaka kabisa wengine wakitandika chini vipande vya magunia kwa staili wagombevyo wanafunzi madawati ktk shule za akina kayumba ,wengine wakikimbizana na wagawaji.Watu wengine wapita njia wakionekana kushangaa kwa kutojua nini kinaendelea pale.Hiyo ndio taswira ya enoe husika.Huku mkandara akiwa busy kuweka zege katika uzio, na kuchora lama katk uwanja ambao tayari kuna rundo la akina mama wanaokuja kwa fujo baada ya kukimbizwa na manispaa maeneo mablimbali aya mji.
Cha kujiuliza kwanini zoezi limeenda haraka hivyo?mkandarasi anafanya kazi, hakuna banda lolote hata choo tayari watu wanaanza kimbiziwa huko, mkandarazi ndio kachora vipimo ardhini huku kwa kiasi kikubwa pakionekana kuwa hakuna eneo la parking lililotengwa kwa ajili ya wanunuzi na waleta mizingo,au hata wachukuzi wa mizigo mara mteja anunuapo vitu vingi.
Cha kujiuliza kwanini zoezi limeenda haraka hivyo?mkandarasi anafanya kazi, hakuna banda lolote hata choo tayari watu wanaanza kimbiziwa huko, mkandarazi ndio kachora vipimo ardhini huku kwa kiasi kikubwa pakionekana kuwa hakuna eneo la parking lililotengwa kwa ajili ya wanunuzi na waleta mizingo,au hata wachukuzi wa mizigo mara mteja anunuapo vitu vingi.