HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
pale FFU kuna kiwanja kipo pale na ulinzi wa kutosha hakuna haja ya serikali kuwasha gari kuja NMC .TUNAPUNGUZA GHARAMA tuombe kibali kitumike ,pia kuna maeneo ya wazi ambayo yapo nje ya mji kinachohitajika sasa sio maandamano hapana tumieni msemo wa matembezi ya hisani ,kuna watu hawalali wanapofikiri cdm kesho ina mkutano ,kwa kweli hawa jamaa ni watu wa amani sana tofauti na mnavyofikiri