Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Uwanja wa nmc jijin arusha umefungwa rasmi kwa kile kinachodaiwa ni kuizima chadema jijini arusha. KUfungwa kwa uwanja huo ni siku moja kabla ya rufaa ya mbunge lema na wakati ambapo chadema ilitarajia kufanya mkutano wake katika uwanja huo hii leo. TAARIFA ZAIDI BAADA YA UWANJA WA NMC KUFUNGWA NA KUANDALIWA KWA AJILI YA WAFANYABIASHA NDOGONDOGO MAARUFU KAMA MACHINGA, UONGOZI WA CDM MKOANI UMEWAOMBA RADHI WANACHAMA KWA KIPINDI HIKI HUKU CHAMA KIKIENDELEA KUTAFUTA ENEO LINGNE AMBALO LIPO ENEO LA KILOMBERO. OFISI KUU YA CHAMA ARUSHA.