Uwanja wa nmc jijini arusha kufungwa ili kuidhibiti (chadema)

Mkutano umeshatangazwa kesho nmc tusubiri tuone hawa policcm wanawapeleka wap watanzania
 
Kwa mujibu wa taarifa za vikao vya halmashauri ya jiji la arusha. Uwanja wa nmc utafungwa hiv karibuni ili kuidhibiti chadema mkoani arusha kwa kutokupata eneo maalum la kufanya mikutano.

Wakifanya hivyo ndo ujue kweli CCM wamejimaliza kabisa,kweli nimeamini samaki hujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe
 
Ha ha ha ha ha ha hiyo kari lia sidhani kama ninjia sahiin yakuwazibiti hawa people, bila shaka chama tawala wanajialibia kwawananch. mi binafis nadhani wangebuni sera nzur zakuwaldisha wananch kwenye mstar, ila wameshachelewa kwajinsi ninavyojua kwasasa hata kama mkutano ya cdm ikifanyika polini raia wataenda kwasabb wanasera zinazovtia. haya bwana chama tawala jitahidini lakini kumbukeni yakwamba ss ndio wachaguz wakuu, hatutovmilia uozowenu tena.:flypig: tuko mbioni kila dakika hatuchoki :flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig:
 
Bora wawape mama lishe na machinga wafanyie shughuli zao tumechoka na matusi.
 
Arusha town is just too good for a Gaudence Lyimo mayorial leadership anyway. The town needs better than a CCM political chauvinist of tha madiocre levels. CHADEMA needs to politically flash away this guy.
 
Back
Top Bottom