UWANJA MPYA WA NDEGE [songwe MBEYA]

lossoJR

JF-Expert Member
Oct 11, 2012
2,711
2,382
kutokana na kuteuliwa kwa mkoa mpya wa songwe hivi karibuni huko mbeya..JE ina maana ule uwanja mpya uliopo songwe si mali ya mkoa wa mbeya tena bali utakua ni wa mkoa mpya wa songwe?..na kama jibu ni ndio je vipi kuhusu mkoa wa mbeya kua na uwanja wa ndege kwa maana ule wa awali tayari ulisitisha huduma kwa kuuisha huu mpya ambao kwa sasa inaonesha si wetu tena
#msaada tafadhali.
 
kutokana na kuteuliwa kwa mkoa mpya wa songwe hivi karibuni huko mbeya..JE ina maana ule uwanja mpya uliopo songwe si mali ya mkoa wa mbeya tena bali utakua ni wa mkoa mpya wa songwe?..na kama jibu ni ndio je vipi kuhusu mkoa wa mbeya kua na uwanja wa ndege kwa maana ule wa awali tayari ulisitisha huduma kwa kuuisha huu mpya ambao kwa sasa inaonesha si wetu tena
#msaada tafadhali.

Mkuu, hebu jaribu kufikiria kama Mtanzania badala ya kufikiria kama mkazi wa Mbeya. Hapa ni kama unapendekeza Arusha wadai uwanja wao wa kimataifa kwa kuwa KIA uko Moshi!
 
Kwanza hata mkoa mpya wa songwe ukianzishwa bado songwe airport itabaki mkoa wa mbeya make ipo mbeya vijaijni
 
-------,kwani mkoa wa pwani,wanatumia uwanja gani,tumieni pamoja huo uwanja.
 
kutokana na kuteuliwa kwa mkoa mpya wa songwe hivi karibuni huko mbeya..JE ina maana ule uwanja mpya uliopo songwe si mali ya mkoa wa mbeya tena bali utakua ni wa mkoa mpya wa songwe?..na kama jibu ni ndio je vipi kuhusu mkoa wa mbeya kua na uwanja wa ndege kwa maana ule wa awali tayari ulisitisha huduma kwa kuuisha huu mpya ambao kwa sasa inaonesha si wetu tena
#msaada tafadhali.

Haina shida, cha msingi pata usafiri wako ndo uende huko unakotaka kwenda...hilo la sijui airport ipo wapi sijui mkoa gani lisikuumize kichwa!
 
Hv umeshawahi hata kutumia usafiri wa ndege kupitia uwanja wa songwe mkuu? Onyesha uzalendo kwanza.
 
mijitu humu ndani inajifafanya inajua kuponda ponda tu hata bila kuelewa thread hammuoni jamaa mtoa uzi alikuwa anauliza nyie mnaanza kutoa mipovu. kufakamia vitu usivyovijua vizuri ni kama kuvaa mlegezo bila boxer ndani hivyo unajidhalilisha tu................
 
Uwanja wa ndege wa Songwe upo Katika Halmashauri ya wilaya ya Mbeya (Mbeya vijijini) Hivyo hauhusiani kabisa na Mgawanyiko wa mkoa utabaki kuwa Mbeya wilaya zilizounda mkoa wa songwe ni Mbozi Momba ileje na chunya
 
Uwanja wa ndege wa Songwe upo Katika Halmashauri ya wilaya ya Mbeya (Mbeya vijijini) Hivyo hauhusiani kabisa na Mgawanyiko wa mkoa utabaki kuwa Mbeya wilaya zilizounda mkoa wa songwe ni Mbozi Momba ileje na chunya

good KIMPE umejibu kulingana na swali bt hawa wamekurupuliwa usingizini
 
Yap! isitoshe umbali wa kutoka Mbeya mjini mpaka Songwe ni ule ule haujabadilika.Uwanja upo tu Songwe lakini ni wa watanzania wote!Hivyo wana Mbeya tusiwe na wasiwasi.Hata Soko la Kimataifa la Mbeya litatumiwa na wana Songwe pia.
Mkuu, hebu jaribu kufikiria kama Mtanzania badala ya kufikiria kama mkazi wa Mbeya. Hapa ni kama unapendekeza Arusha wadai uwanja wao wa kimataifa kwa kuwa KIA uko Moshi!
 
Hv umeshawahi hata kutumia usafiri wa ndege kupitia uwanja wa songwe mkuu? Onyesha uzalendo kwanza.

mpaka nimelileta mezani ujue ni mdau wa safari hizo so nimeuliza ili kupata ufafanuzi wa watu wenye uelewa zaidi..quote on me
 
mpaka nimelileta mezani ujue ni mdau wa safari hizo so nimeuliza ili kupata ufafanuzi wa watu wenye uelewa zaidi..quote on me
Acha UDWANZI na UMBWIGA wewe, mikoa yenyewe mambo baado sana umeanza ubaguzi. Wewe ukipewa cheo kikubwa utabagua watu sana.
 
Kwani mkoa wa Pwani uwanja wao wa ndege ni upi. Acha figisifigisi mtoa mada!
 
Acha UDWANZI na UMBWIGA wewe, mikoa yenyewe mambo baado sana umeanza ubaguzi. Wewe ukipewa cheo kikubwa utabagua watu sana.

hayo ni maswali mkuu... ndio ninyi mlionunua vyeti vya form4 maana hamuelew chaku coment
 
By Mhusika mkuu<br />
Hv umeshawahi hata kutumia usafiri wa ndege kupitia uwanja wa songwe mkuu? Onyesha uzalendo kwanza.
<br />
<br />
mpaka nimelileta mezani ujue ni mdau wa safari hizo so nimeuliza ili kupata ufafanuzi wa watu wenye uelewa zaidi..quote on me
No matter Kama ni mdau au ni mdafu kwani ulipungua damu mwilini kwa kusikia uwanja utakuwa kwenye mkoa mpya?
 
Moro,Pwani wanatumia wa Dar. Lindi wanatumia wa Mtwara. Pia kama mdau alivyosema Arusha wanatumia wa KIA.Basi siyo mbaya watu wa Mbeya kutumia ule wa Songwe kwani ni umbali wa kama kilometa 30-35 hivi kutoka jijini Mbeya. Hebu fikiria umbali toka Bunju hadi airport Dar ni zaidi ya kilometa 40
 
Back
Top Bottom