kwa tafsiri ya Tanzania na hasa CCM ndio maana yake ila navojua mimi kuwajibika ni kwanza kujiuzulu ili kufungua njia au hatua nyingine kuendelea ikiwa ni pamoja na uchunguzi huru dhidi ya tuhuma zinazokuhusu na baadae hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo na mwisho kuhukumiwa ikiwa mahakama itakuona na hatia, lakini kujiuzulu tu inasaidiaje mtu kurudisha mabilioni ya walipa kodi alizoiba??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.