Aisee wadau leo nimeaply hii sheria inayokataza kuvuta sigara in public place kwa njemba mmoja.kama mlikua hamjui kuna sheria THE TOBACCO PRODUCT (REGULATION) ACT NO. 2, 2003 inayokataza kuvuta sigara in public place.defition ya public place imetolewa maana yake kwenye hiyo sheria.
kulifikisha polisi kumbe nao hawa wenye vyeti feki (polisi)wanaijua sheria hiyo faini yake ni laki tano(500,000)au gerezani miezi 9.sasa sijui kama limelipa au ndo yale yale ila nimeliacha rubango.
jamani una uhuru na haki ya kumkamata mtu unayevunja sheria haiwezekani uko kwenye mkusanyiko wa watu mfano hotel,hospital,public transport n.k lijitu linaanza kusmoke kwa raha zake.wakati ametengewa sehemu ya kuvuta sigara.
kulifikisha polisi kumbe nao hawa wenye vyeti feki (polisi)wanaijua sheria hiyo faini yake ni laki tano(500,000)au gerezani miezi 9.sasa sijui kama limelipa au ndo yale yale ila nimeliacha rubango.
jamani una uhuru na haki ya kumkamata mtu unayevunja sheria haiwezekani uko kwenye mkusanyiko wa watu mfano hotel,hospital,public transport n.k lijitu linaanza kusmoke kwa raha zake.wakati ametengewa sehemu ya kuvuta sigara.