Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,702
Kinga'ast umenikumbusha mbali kuna mambo huwa hayafutiki moyoni hata ukijaribu kupaka rangi aseee!
Hujataka tu . . . . . . . . . . . .!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinga'ast umenikumbusha mbali kuna mambo huwa hayafutiki moyoni hata ukijaribu kupaka rangi aseee!
hapana sio malaika. mimi kama binadamu wote nina mapungufu kadhaa lakini ni wajibu wangu kutoyatumia kujustify manyanyaso kwa mpenzi wangu, mf. naweza kunywa bia kiasi (< 4/day) lakini nikilewa na kufanya vituko na mambo ya aibu kila siku/wiki je utaweza kuvumilia kwa miaka mingi. hii ndio ninachomaanisha. binafsi naweza kuvumilia infidelity once or twice (with counselling), lakini ukicheat mara kwa mara au kuleta utitiri wa wanaume itabidi niondoke maana hapo sio fair to memy bro hivi inamaana wewe unataka ukutane na malaika? una yaweka wapi mapungufu ya kibinadamu?
gfsonwin hapao kwenye red sio makosa yote unaweza kukaa kimya nakupotezea mfano. nimume wako wandoa takatifu,kazaa nje mara ya 1ukavumilia,mara ya pili ukamkanya nakuangalia tatizo tuseme ukawashirikisha wanaohusika bado akaendelea na tabia hiyo hiyo,hakujirekebisha ,hao inajidhihirisha wazi kuwa anatembea nje ya ndoa bila kinga hiyo ni hatari ,je haitakulazimu kumwambia nahamia chumba cha pili????????????????UVUMILIVU UNATEGEMEA NA NDOA /MAHUSIANO NA MATATIZO YANAYOVUMILIKA!nivea no matter ni repetitive kiasi gani wewe unapaswa kujua unalichukuliaje hilo? kwamfano hakunaga silaha nzuri kwa kosa ambalo ni repetitive kama kulipuuzia kisha kukaa kimya hii ni aina ya uvumilivu ambayo sikuzote humfanya mtu kuwa mnyenyekevu na mwenye heshima kwa mwenzi wake, na ni nzuri sana inapotumiwa na mama pasi kusahau maombi kwa Mungu.
Eiyer nilichogundua mdogo wangu ni kwamba somo ni gumu sana kivitendo ila najiuliza hivi mbona wengine wanaweza kwanini wengine washindwe?mmh.............namshukuru sana Mungu kuzaliwa kijijini na kukulia kijijini pengine ndio maana niko hivi hofu ni kwa wanangu waliozaliwa mjini kila kitu ni dihybrid progeny.gfsonwin,hongera kwa mtazamo wako chanya na mahusiano,ila,utapata tabu sana kueleweka hasa kwa mabinti wa miaka 21-30.Lakini pia kwa faida ya wengine na uhalisia ni kwamba,ni jambo gumu sana pengine kuliko ugumu wenyewe watu kuelewa maisha na matukio yake na yanayoyafanya haya tuyafanyayo kama mtu hatajihangaisha kujua upendo ni nini?Ukijua upendo umejua yote!
nivea nafikir mimi nilivyokuzwa na kuish ni tofauti sana, manake mimi huwa naangalia amani ya nafsi yangu zaid kuliko kuangalia magonjwa na vingine. sina maana kwamba nina underestimate madhara ya magonjwa hapana bali ninaangalia kwanini amani yangu iondolewe na mtu?gfsonwin hapao kwenye red sio makosa yote unaweza kukaa kimya nakupotezea mfano. nimume wako wandoa takatifu,kazaa nje mara ya 1ukavumilia,mara ya pili ukamkanya nakuangalia tatizo tuseme ukawashirikisha wanaohusika bado akaendelea na tabia hiyo hiyo,hakujirekebisha ,hao inajidhihirisha wazi kuwa anatembea nje ya ndoa bila kinga hiyo ni hatari ,je haitakulazimu kumwambia nahamia chumba cha pili????????????????UVUMILIVU UNATEGEMEA NA NDOA /MAHUSIANO NA MATATIZO YANAYOVUMILIKA!
gfsonwin HEBU YAANGALIE NAYALE KUMI NILIYOYAKUMBUKA UNIAMBIE PIA ,KUZAA NJE YA NDOA NI KOSA KUBWA LA KUKOSA UAMINIFI NA NIKINYUME NA VIAPO VYA KANISANI/MISIKITINI SIO SWALA DOGOKAMA UNAVYODHANI KABLA YA NDOA SITILII MAANANI LAKINI BAADA YA DU NI KOSA TUSIPINGANE NA UKWELIWALA TUSIFUNIKE DHAMBI NA PAZIA HII INA MADHARA ILA INATEGEMEA NA UNAVYOYACHUKULIA MAMBO.ASANTE gfsonwinnivea nafikir mimi nilivyokuzwa na kuish ni tofauti sana, manake mimi huwa naangalia amani ya nafsi yangu zaid kuliko kuangalia magonjwa na vingine. sina maana kwamba nina underestimate madhara ya magonjwa hapana bali ninaangalia kwanini amani yangu iondolewe na mtu?
hivi ni nani aliyekwambia kuwa kosa la mume ama mke kuzaa nje ndio kosa kubwa sana lisilovumilika ukilinganisha na makosa mengine? Jamani sijui nikoje mimi na hasa mental equip yangu labda ni kwasababu ya niliyoyapitia ndo maana. Yapo makosa ambayo kweli siwez kuyavumilia na kwanu ni kosa moja tu la kunitishia ama kuhisi tu at anypoint huyu atanitoa uhai. hilo tu mengine yote navumilia manake najua nitapita.
kuelewa somo nacho ni kipaji..........tatizo hatukai na wazazi wetu kutuelewesha zaidi juu ya ndoa.............na uvumilivu kwenye ndoa ukoje.gfsonwin,hongera kwa mtazamo wako chanya na mahusiano,ila,utapata tabu sana kueleweka hasa kwa mabinti wa miaka 21-30.Lakini pia kwa faida ya wengine na uhalisia ni kwamba,ni jambo gumu sana pengine kuliko ugumu wenyewe watu kuelewa maisha na matukio yake na yanayoyafanya haya tuyafanyayo kama mtu hatajihangaisha kujua upendo ni nini?Ukijua upendo umejua yote!
MJ1 nafikir kama waliopita kwenye swala la ndoa naamini nami nilipita tena nimejifunza sana. Leo hii kila mtu ana heshima na swala la kuvumiliana tena halipo manake makosa yaliyobaki ni ya kawaida sana ambayo hayasumbui.
nivea ni kosa sawa na ni dhambi kwani ni uzinifu, lakini pia tunapaswa kuangalia impact yake in future, unajua sifuniki dhambi manake hadi umetumia caps inamaana umeonyesha msisitizo.gfsonwin HEBU YAANGALIE NAYALE KUMI NILIYOYAKUMBUKA UNIAMBIE PIA ,KUZAA NJE YA NDOA NI KOSA KUBWA LA KUKOSA UAMINIFI NA NIKINYUME NA VIAPO VYA KANISANI/MISIKITINI SIO SWALA DOGOKAMA UNAVYODHANI KABLA YA NDOA SITILII MAANANI LAKINI BAADA YA DU NI KOSA TUSIPINGANE NA UKWELIWALA TUSIFUNIKE DHAMBI NA PAZIA HII INA MADHARA ILA INATEGEMEA NA UNAVYOYACHUKULIA MAMBO.ASANTE gfsonwin
nimefika mwisho wa akili zangu nimemwachia mungu maisha na ndoa yangu ailinde mimi siwezi na anailinda kweli kweli ,things are sometimes inevitable only god can,thats why i love himnivea ni kosa sawa na ni dhambi kwani ni uzinifu, lakini pia tunapaswa kuangalia impact yake in future, unajua sifuniki dhambi manake hadi umetumia caps inamaana umeonyesha msisitizo.
Sasa kuna wakati mwanaume ni bora akazaa nje kuliko kukuletea mwanamke ndani mwako akakulaza chumbani na watoto yeye nahawara wakalala chumbani na asubuhi ukaachiwa chumba usafishe. Ila bana katika jambo kama hili mvumilivu hupita kwa furaha nimeshuhudia haya jamani.
kha!! gfsonwin hiyo ni ndoa ya kweli au hadithi? yaani kakudharau mpaka kukuletea mwanamke mwingine. hakuna cha kuvumilia hapo ni kuondoka tuu.sasa kuna wakati mwanaume ni bora akazaa nje kuliko kukuletea mwanamke ndani mwako akakulaza chumbani na watoto yeye nahawara wakalala chumbani na asubuhi ukaachiwa chumba usafishe. ila bana katika jambo kama hili mvumilivu hupita kwa furaha nimeshuhudia haya jamani.
kuelewa somo nacho ni kipaji..........tatizo hatukai na wazazi wetu kutuelewesha zaidi juu ya ndoa.............na uvumilivu kwenye ndoa ukoje.
tunakaa na mashost na sometimes tunatiana ujinga mwisho wa siku ndoa inavunjika.............mimi nina mama yangu mkubwa nikikuelezea story ya huyo mama yangu wasichana wengi wa sasa hivi wasingeweza kuvumilia yale aliyovumilia mama yangu huyo na wakadumu kwenye ndoa mpaka kifo kilivyowatenganisha ( mume kufariki ).