uvumilivu...

thanks ma big sister. ila na wewe weka mchango wako hapa ili uwajenge wengine.

Mydia mie hakuna kitu ninachokithamini kama uvumilivu na tena ni kitu kilichonifanya nikaingia kwenye ndoa kwa confidence kuwa hakuna kitakachonishinda kwa kuwa nitavumilia. ILA Sikujua kama kuna extent tofauti ya uvumilivu. KAtika maisha ya ndoa mwanzoni kuna maudhi madogo madogo ambayo huwa yanapaswa kuvumilia lakini pia yapo zile turmors ambazo zikikuhet utatamani kukimbia ukipiga ukunga but hakuna lisilovumilika na hakuna mapito yasiyopita.

Ila inapofikia umvumiliaye akaamua kuabuse uvumilivu wako na kukuchukulia kuwa wewe ni wajibu wako kumvumilia na yeye asiwe tayari kukupunguzia mzigo wa kuvumilia hapo ndipo uvumilivu unakuwa hauvumiliki tena. Ndizo extremes anazozisemea Da King'asti hapo juu.
 
my bro platozoom kwanza sifa nzuri ya mama ambaye kweli anaipenda familia yake na anapenda ustawi wa familia yake atavumilia tena akiwa na furaha. siongelei unafki ama kujikosha lakin kuna mambo ambayo nimeyapitia na nikayavuka na nisingekuwa mvumilivu leo hii ningekuwa miongoni mwa wanaosema navumilia vikinishinda naondoka.

ndoa inapaswa ichukuliwe kama kitu cha heshima sana tena kisichohitaji mzaha, manake ni ibada kamili. ifike mahali hasa mabinti wabadilike wajue kwamba ikiwa sisi tunamkosea Mungu atupaye uhai kwakiasi hiki lakin anasamehe na kutuvumilia je sisi tumeshawah kukosewa nusu yake? hakunaga binadamu shetani banaa sote tumeumbwa kwa mfan wa Mungu mapungufu na udhaifu wetu pia Mungu aweza kuubadilisha. maisha ya ugomvi kudhalilishwa yanaumiza sana lakin ani uvumilivu wenye hekima na busara ya kimungu utakao kuvusha hapo.


Umemaliza kila kitu........Ingawa kiukweli kwa aina ya maisha tunayoishi zama hizi na kwa watu tunaokutana nao wanaweza kuona maelezo yako yamekaa "kiu-conservative zaidi"..........Wengi wetu vijana tunataka maamuzi ya fasta fasta.
Labda niulize, Kwa kuwa hapa umezungumzia hasa kwa walio kwenye ndoa na mimi nimeandika kwa mlengo huo nafikiri ni vyema ukaja na uzi mwingine wewe mwenyewe unaohusu "unamtambuaje mtu mwenye uwezo wa kubeba uvumilivu"

Wengine hatuko kwenye duara lenu.......tunafikiria kuingia ati!

"Simbiko haisimbuki ila kwa msukosuko"
 
my love Neiwa hapo ndipo penye changamoto, katika roles za uvumiivu swala la kuchukulia mapungufu ya mwenzi wako kama changamoto limo. soma hizo namba1&2. hii ni kwasababu kosa lolote alifanyalo mtu usiliweke kuwa chuki hata siku moja liweke kuwa changamoto kwako na linapokuwa ni changamoto basi hutolifanyia kazi kwa hasira wala hamaki.

kwanza utatulia kisha ufikirie njia sahihi ya kutatua na hadi inapofikia kwamba now its over unakuwa tayari umesha set benchmark. mara nyingi sana tunashuhudia watu wana break na baada ya muda mfupi wanaanza tena kuumizana kwangu mim hii ni kwamba tatizo lao toka mwanzo halikuwa changamoto bali lilikuwa ni chuki.
gfsonwin na je kama hilo tatizo linajirudid several time more than 10* bado ni changamoto?na ndio sababu waswahili walisema kutenda kosa sio kosa haijalishi nilikubwa kiasi gani ila kurudia kosa lile lile ndio kosa tena kosa kabisaaaa
 
Last edited by a moderator:
Mamaa, uvumilivu wa mungu kwa bin adamu ni tafauti kabisaa na uvumilivu wangu kwa binadamu ambae sijamuumba mie. Ndo maana Yesu, kwa kuwa alitwaa mwili, aliweza kubinua meza hekaluni kwa hasira. Ni lazima katika kila kitu ufike mahali ubinue meza. Uvumilivu aliosema mpendwa hapo juu wa kuugua, kukosa hela ama kazi etc hauna neno as long as muhusika anakubali kutoa ushirikiano. Mfano: huwezi kumvumilia mwanaume ambaye ameamua hataki kufanya kazi for the rest of his life! Ama ambae anaumwa na hataki kabisaa kutumia dawa ama kufuata masharti ya daktari, hapo tough love itahusika.

Ila kwa mifano yangu yangu hii ya kupigana na serial cheating ukiendekeza uvumilivu utaishia kupata crown ukiwa kwenye jeneza. Ulimsikia yule mama wa mwanza alieburuzwa na mumewe kwa gari, akafariki this week baada ya mateso ya miezi kadhaa! Unavumilia serial cheating hadi ukimwi unakupata?

ngoja nikwambie ma dearest sina maana uwe kama Mungu bali namaanisha tuwe na hekima tu. kwamfano kuna mahali ambapo unatakiwa ufanye huku ukireason ni kwanini unafanya hayo na si kwa chuki hata kidogo.
 
ngoja nikwambie ma dearest sina maana uwe kama Mungu bali namaanisha tuwe na hekima tu. kwamfano kuna mahali ambapo unatakiwa ufanye huku ukireason ni kwanini unafanya hayo na si kwa chuki hata kidogo.

gfsonwin........kwa nini ananipiga bila kumkosea? kwa nini ananiletea wanawake nyumbani???
Hebu kwanza naja
 
Mie I don't believe in chuki, wala hate. Tena I believe in forgiveness manake najua nikiamua kutosamehe ina maana nitakuwa victim forever. Ninachosema ni uvumilivu lazma uwe na kikomo! Hata Mungu anatuvumilia akitegemea utabadilika, ila ukienda six feet under the story ends there, baada ya kufa ni hukumu! Anaevumiliwa akijua hatovumiliwa forever labda itamsaidia nae kuvumilia asifuate wish yake ya kukuumiza! Wasaidieni wenza wenu kwa kuwajulisha kuwa hawatovumiliwa milele amina kwa mambo ya kipuuzi (isaidieni na ccm pia, hehehe!)
ngoja nikwambie ma dearest sina maana uwe kama Mungu bali namaanisha tuwe na hekima tu. kwamfano kuna mahali ambapo unatakiwa ufanye huku ukireason ni kwanini unafanya hayo na si kwa chuki hata kidogo.
 
gfsonwin na je kama hilo tatizo linajirudid several time more than 10* bado ni changamoto?na ndio sababu waswahili walisema kutenda kosa sio kosa haijalishi nilikubwa kiasi gani ila kurudia kosa lile lile ndio kosa tena kosa kabisaaaa
nivea no matter ni repetitive kiasi gani wewe unapaswa kujua unalichukuliaje hilo? kwamfano hakunaga silaha nzuri kwa kosa ambalo ni repetitive kama kulipuuzia kisha kukaa kimya hii ni aina ya uvumilivu ambayo sikuzote humfanya mtu kuwa mnyenyekevu na mwenye heshima kwa mwenzi wake, na ni nzuri sana inapotumiwa na mama pasi kusahau maombi kwa Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa sababu anajua utampenda na utamvumilia! Hata kama umemkosea, yeye akikukosea unampiga? Hamuwezi kuongea kwa upendo? Akijua u can't tolerate hata matusi ya nguoni atashika adabu alofundishwa na mamake(ati mume anamuambia mkewe 'hilo shimo tu mi naingia kukojoa, na yapo meengi mjini hapa', ama mwanamke anamuambia mumewe 'mwanaume gani wewe, una kibamia', kha!)
gfsonwin........kwa nini ananipiga bila kumkosea? kwa nini ananiletea wanawake nyumbani???
Hebu kwanza naja
 
Kwa sababu anajua utampenda na utamvumilia! Hata kama umemkosea, yeye akikukosea unampiga? Hamuwezi kuongea kwa upendo? Akijua u can't tolerate hata matusi ya nguoni atashika adabu alofundishwa na mamake(ati mume anamuambia mkewe 'hilo shimo tu mi naingia kukojoa, na yapo meengi mjini hapa', ama mwanamke anamuambia mumewe 'mwanaume gani wewe, una kibamia', kha!)
Da King'asti hapa ndipo mada hii inapokolea utamu. Uyasemayo ni kweli kabisa tena from thw word go, anapaswa kulielewa hilo.

Dah I just wish but I do believe nami nilitoa somo.
 
Kwa hiyo kama mwanaume kila siku ni cheater, ama anarudi home baada ya siku 3, ama anarudi usiku wa manane kalewa na ngumi mkononi, nimpuuzie tu na kuvumilia? And for how long? 10 years? 20?

Halafu kumbe uvumilivu tunaoengelea hapa ni wa wamama tu? Ndo maana kaka Kaizer anasema uvumilivu umemshinda. Kuna wababa wanavumilia upuuzi hadi huruma aisee!
nivea no matter ni repetitive kiasi gani wewe unapaswa kujua unalichukuliaje hilo? kwamfano hakunaga silaha nzuri kwa kosa ambalo ni repetitive kama kulipuuzia kisha kukaa kimya hii ni aina ya uvumilivu ambayo sikuzote humfanya mtu kuwa mnyenyekevu na mwenye heshima kwa mwenzi wake, na ni nzuri sana inapotumiwa na mama pasi kusahau maombi kwa Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Kinga'ast umenikumbusha mbali kuna mambo huwa hayafutiki moyoni hata ukijaribu kupaka rangi aseee!

Kwa sababu anajua utampenda na utamvumilia! Hata kama umemkosea, yeye akikukosea unampiga? Hamuwezi kuongea kwa upendo? Akijua u can't tolerate hata matusi ya nguoni atashika adabu alofundishwa na mamake(ati mume anamuambia mkewe 'hilo shimo tu mi naingia kukojoa, na yapo meengi mjini hapa', ama mwanamke anamuambia mumewe 'mwanaume gani wewe, una kibamia', kha!)
 
Mydia mie hakuna kitu ninachokithamini kama uvumilivu na tena ni kitu kilichonifanya nikaingia kwenye ndoa kwa confidence kuwa hakuna kitakachonishinda kwa kuwa nitavumilia. ILA Sikujua kama kuna extent tofauti ya uvumilivu. KAtika maisha ya ndoa mwanzoni kuna maudhi madogo madogo ambayo huwa yanapaswa kuvumilia lakini pia yapo zile turmors ambazo zikikuhet utatamani kukimbia ukipiga ukunga but hakuna lisilovumilika na hakuna mapito yasiyopita.

Ila inapofikia umvumiliaye akaamua kuabuse uvumilivu wako na kukuchukulia kuwa wewe ni wajibu wako kumvumilia na yeye asiwe tayari kukupunguzia mzigo wa kuvumilia hapo ndipo uvumilivu unakuwa hauvumiliki tena. Ndizo extremes anazozisemea Da King'asti hapo juu.
MwanajamiiOne nashukuru sana kwa mchango wako huu, pia nimetambua kuwa King'asti katuamshia ukurasa mwingine tena. Lakini nafikiri wapendwa tunatakiwa tuje na darasa hasa juu ya sisi akina mama hapa.

Binafsi huwa naamini sana kwamba mama ukitaka ndoa yako isimame unaweza na unapotaka iishe unaweza. kwabahati nimepata bahati kubwa sana ya kufanya ushauri juu ya maswala ya ndoa na niliona wanawake tunashida katika eneo hili la uvumilivu. ukisome role #2 kwenye post hapo juu utagundua kuwa uvumilivu hauhesabu gharama. sasa pale ambapo tunauekea gharama ndipo penye shida kubwa.

lakin pia kuna uvumilivu ambao ni wa woga ambao huu kwangu mimi huwa nauita fimbo ya mnyonge. mara zote huu huambatana na woga na hofu ambaoo haukupi nafasi ya kureason kwa umakini.

lakin tena kuna uvumilivu wa kibabe ambao huambatana na maneno makali yenye karaha na hili kosa sana kwetu sisi wanawake. unapovumilia usiwe msemaji bana uwe mpole na utende kwa akili. ukiwa msemaji utaamsha hasira ila upole humnyima mtu nafasi ya kuendelea kughadhabika na huamsha heshima na nidhamu hata kama kuna kosa.

tunapaswa tukumbuke kuwa hata kamaa wanaume watakosea kiasi gani hakuta badilisha nafasi yao kuwa wanaume ama kuwa akina baba na pia hata kama mwanamke atakosea basi hakuta badili nafasi yake kuwa mwanamke na mama wa familia.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo kama mwanaume kila siku ni cheater, ama anarudi home baada ya siku 3, ama anarudi usiku wa manane kalewa na ngumi mkononi, nimpuuzie tu na kuvumilia? And for how long? 10 years? 20?

Halafu kumbe uvumilivu tunaoengelea hapa ni wa wamama tu? Ndo maana kaka Kaizer anasema uvumilivu umemshinda. Kuna wababa wanavumilia upuuzi hadi huruma aisee!

sijaongelea uvumilivu wa mama tu hapana ila najaribu kujibu kulingana na mtu alivyouliza. hivi kwanini mnapenda kuhesabia gharama? je umewah kujiuliza lipi ni jambo baya sana na kubwa kwako ambalo litakuumiza ukitendewa? na je unao uhakika kwamba hicho ulichotendewa ndicho kitu kikubwa kisichovumilika ukilinganisha na wanayotenda wengine? sasa nijibu hapo kisha nikupe vivid examples ndipo utajua anamaanisha nini.
 
Kinga'ast umenikumbusha mbali kuna mambo huwa hayafutiki moyoni hata ukijaribu kupaka rangi aseee!

hivi Chauro bi dada wewe kuna mambo ambayo wayaweka moyoni? binafsi ninapoamua kuvumilia kwanza sichukulii kama ni kosa halafu natafuta njia ya kutokea hapo. ukishaiweka ni chuki ndipo utakapohitaj na aliye kukosea kuja kuomba msamaha na ukutane mwenye roho hiyo ambaye hana utaumia milele. kwangu mimi sinaga kosa mtu analonitendea ila kila mtu huwa ananipa changamoto naogopa kufa kwa sukari na presha kwa hasira.
 
Last edited by a moderator:
habari mtoa mada mdada gfsonwin heshima yako mkuu
mimii ninasuala tofauti sana na mtazamo tofauti sana katika neno uvumilivu!na hii hupelekea kuwa mimi sio mshauri mzuri wa masuala ya mapenzi,nandio sababu huwa nasema kwa nafsi yangu peke,na ieleweke pia kuwa watu tumeumbwa tofauti sana jinsi unavyoimudu ndoa /mahusiano yako kwa uvumilivu tena mkuu mimi naimudu nainadumu kwa tofauti kabisa tena bila uvumilivu huwa napotezea tu badala yakuvumilia.
nawiwa pia kusema uvumilivu unatokana na historia ya mahusiano ya hao watu wawili tangia mwanzo,sisi ni binadamu huwa ni wepesi kukata tamaa na kufika mwisho,mimi nimeishi vijijini pia mijini na watu tofauti sana ,nimeshuhudia ndo a/mahusiano yakiingiliwa kati nakuvunjwa na ndugu japo ni ndoa takatifu au la sababu yakuon huyu atavumilia mpaka lini ilhali hili suala halina mwisho na mtu hajitambui ,kwa hili pia dada gfsonwin utakuwa shahidi mzuri sana,kuvumilia kunaenda proportional na mtu unayemvumilia anaelewa amekosea na yuko tayari kujirekebisha!la sivyo uvumilivu una mwisho!!!!!!!!!
natoa mfano:
je katika mambo haya bado utavumilia tu kama yanajirudia rudianahusisha ndoa /mahusiano yoyote?
1.umemfumania several timea hajirekebishi na si ajabu kumkuta club/sehemu yyte katika mazingira tatanishi ambayo yanaonyesha ukaribu wawatu hao kimapenzi.UNAONA WAZI MWENZANGU ATANIUA NA MAGONJWA HATARISHI.
2.akuheshimu anakulinganisha na mahawara zake na kuwasifia kuwa wao ni bora kuliko wewe bila kujali unaumia kiasi gani,
3.hajali hisia zako kabisa
4.anakudharau nakukudhalilisha popote pale nabila kujali ni wapi haeshimmu ndugu jamaa namarafiki
5.anakuletea wanaumw/wanawake ndani ya nyumba nakulala kitandani mnacholalia na wewe ukiwepo
6. anakutusi
7.hataki umuulize chochote kile amechelewa, amelala wapi
8.hatoi matumizi ya familia kama au kulingana na kipato chake ,akipata anapotea akikosa anarydi nakujinyenyekeza kwako
9.ameshindwa kuilinda ndoa/mahusianao ameiweka mikononi mwa ndugu wanauwezo wakukutusi au kukuamrisha lolote watakalo na hakuna wakukutetea na yeye pia hayuko upande wako ambaye ndie aliyekukaribisha kwao wewe ni mgeni!
10.Kila kona unapata tetesi ana mtoto au baadhi unawafahamu,kupigiwa pigiwa simu kudai matumizi au la
11.amekuficha mambo mengi unakuja gundua amezaa na anawatoto nyumbani kwa/ni mke wamtu ila kakuficha muda wote wamahusiano,mfano ile mada ya leo isemayo kumbe mpenzi wangu ni mke wa mtu!wanajf walichangia nakumwambia asivumilie yatamkuta mabaya mbeleni
12.
ongezeeni
MIMI KWA MAMBO SIMO TENA NA HUO UHUSIANI NAWAACHIA WENZANGU WAJARIBU NA WAO.LAKINI UVUMILIVU NI MUHIMU ILI MAISHA YAENDE.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin........kwa nini ananipiga bila kumkosea? kwa nini ananiletea wanawake nyumbani???
Hebu kwanza naja

sasa hapa ndipo darasa linapo anza MJ1, hivi unapovumilia huwa unaangalia vitu ama mambo gani? na je huwa unafanyaje katika kuvumilia huko? unakaa kimya, unasema, ama?
 
gfsonwin,hongera kwa mtazamo wako chanya na mahusiano,ila,utapata tabu sana kueleweka hasa kwa mabinti wa miaka 21-30.Lakini pia kwa faida ya wengine na uhalisia ni kwamba,ni jambo gumu sana pengine kuliko ugumu wenyewe watu kuelewa maisha na matukio yake na yanayoyafanya haya tuyafanyayo kama mtu hatajihangaisha kujua upendo ni nini?Ukijua upendo umejua yote!
 
Vingine duh!! basi nahitaji maombi usinisahau kwenye sala zako nipate moyo wako ulimi kiungo kidogo lakini matatizo yake makubwa.

hivi Chauro bi dada wewe kuna mambo ambayo wayaweka moyoni? binafsi ninapoamua kuvumilia kwanza sichukulii kama ni kosa halafu natafuta njia ya kutokea hapo. ukishaiweka ni chuki ndipo utakapohitaj na aliye kukosea kuja kuomba msamaha na ukutane mwenye roho hiyo ambaye hana utaumia milele. kwangu mimi sinaga kosa mtu analonitendea ila kila mtu huwa ananipa changamoto naogopa kufa kwa sukari na presha kwa hasira.
 
Da King'asti hapa ndipo mada hii inapokolea utamu. Uyasemayo ni kweli kabisa tena from thw word go, anapaswa kulielewa hilo.

Dah I just wish but I do believe nami nilitoa somo.

MJ1 nafikir kama waliopita kwenye swala la ndoa naamini nami nilipita tena nimejifunza sana. Leo hii kila mtu ana heshima na swala la kuvumiliana tena halipo manake makosa yaliyobaki ni ya kawaida sana ambayo hayasumbui.
 
Vingine duh!! basi nahitaji maombi usinisahau kwenye sala zako nipate moyo wako ulimi kiungo kidogo lakini matatizo yake makubwa.
Chauro mambo mengine wala hayahitaj maombi manake nafikir pia siqualify kuombea watu, bali yanahitaji tu dhamira ya wazi basi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom