Uvivu haufaiiiiiiiiiii..........................!

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
uvivu waweza kuwa kipaji, <br />
<br />
mtoto; Baba naomba uniletee hiyo glass<br />
<br />
Baba; Njoo uchukue mwenyewe<br />
<br />
Mtoto: Baba niletee basiiiii!<br />
<br />
Baba: Usinisumbue ntakuja kukuchapa...!<br />
<br />
Mtoto: Basi baba ukija kunichapa njoo na hiyo glass
 
Hiyo ni zaidi ya uvivu, inawezekana hata akichapwa anajisikia uvivu kukimbia!
Nice joke!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom